Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ligi ya Uingereza, Chelsea yaitandika Arsenal 2-0.

Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.

 

 
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL

Baada ya Bundesliga kuanza kutimua vumbi, Pazia la ligi Kuu nchini Uingereza linatarajia kufunguliwa Juni 17 mwaka huu kwa mechi mbili kuchezwa.

Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.

Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...

 

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan

Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.

Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...

 

11 years ago

BBC

Chelsea 6-0 Arsenal

Eto'o and Salah score as Chelsea enjoy their biggest win against Arsenal on Arsene Wenger's 1000th game in charge of the Gunners.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea vs Arsenal

Jose Mourinho amemuonya mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa timu yake imerejesha makali yake na kuwa mechi ya leo Stamford Bridge itakuwa dhihirisho

 

10 years ago

Mwananchi

Usipime Chelsea, Arsenal

Ni nani atalia, pia nani atacheka? Hili ni swali ambalo linaulizwa leo zinapokutana timu kadhaa za Ligi Kuu England, zikiwamo pinzani za London, Chelsea , Arsenal, Man United na Everton.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupambana na Chelsea

Ligi kuu ya Uingereza inaanza tena siku ya jumapili wakati ambapo mabingwa wa ligi hiyo Chelsea wanakutana na washindi wa kombe la FA Arsenal katika mechi ya kombe la Charity Shield itakayogaragazwa katika uwanja wa Wembley.

 

10 years ago

GPL

ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA

Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo. Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo. Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti. ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani