Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL, CHELSEA NGUVU SAWA

Santi Cazorla akipiga mpira uliomgonga mkononi beki wa Chelsea Gary Cahill wakati wa mechi ya leo. Oscar wa Chelsea akikwaana na kipa wa Arsenal David Ospina wakati wa mtanange wa leo. Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akizawadiwa kadi ya njano baada ya kujirusha akitafuta penalti. ARSENAL na Chelsea leo zimeshindwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

STARS, ZIMBABWE NGUVU SAWA

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimetoka sare ya bao 2-2 na timu ya Taifa ya Zimbabwe kwenye mchezo ulipigwa Uwanja wa Taifa jijini Harare. Mechi hiyo ilikuwa ya marudiano ya kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mabao ya Stars yamefungwa na Nadir Haroub 'Cannavaro' dakika ya 21 huku la pili likifungwa na Thomas Ulimwengu dakika ya 46. Mabao ya wenyeji...

 

10 years ago

GPL

YANGA, ETOILE DU SAHEL NGUVU SAWA

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtoka mchezaji wa Etoile Du Sahel wakati wa mechi yao ya Kombe la Shirikisho iliyopigwa Uwanja wa Taifa, Dar jana. Matokeo yalikuwa sare ya 1-1. Patashika wakati wa mchezo huo wa Kombe la Shirikisho uliomalizika kwa sare ya 1-1. Yanga…

 

10 years ago

GPL

AZAM FC, SIMBA SC NGUVU SAWA TAIFA

TIMU ya Simba SC na Azam FC zimeshindwa kutambiana leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kutoka sare ya bao 1-1. Katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar, bao la Simba limefungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 19 wakati la kusawazisha la Azam likifungwa na Kipre Tchetche dakika ya 57. Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi alitolewa uwanjani kwenye machela baada ya kujeruhiwa na kukimbizwa hospitali. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoshana nguvu na Man City

Kiwango cha soka zuri walilonyesha kimewapa matumaini mashabiki wa Arsenal baada ya wiki ya vipigo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupimana nguvu tena na Bayern

Difenda wa Arsenal Per Mertesacker amesema Bayern Munich itataka sana kuonyesha kwamba ndiyo bora zaidi klabu hizo mbili zitakapokutana tena leo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea vs Arsenal

Jose Mourinho amemuonya mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger kuwa timu yake imerejesha makali yake na kuwa mechi ya leo Stamford Bridge itakuwa dhihirisho

 

11 years ago

BBC

Chelsea 6-0 Arsenal

Eto'o and Salah score as Chelsea enjoy their biggest win against Arsenal on Arsene Wenger's 1000th game in charge of the Gunners.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea,Man City zatoshana nguvu

Timu ya Chelsea na Manchester City zatoka sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupambana na Chelsea

Ligi kuu ya Uingereza inaanza tena siku ya jumapili wakati ambapo mabingwa wa ligi hiyo Chelsea wanakutana na washindi wa kombe la FA Arsenal katika mechi ya kombe la Charity Shield itakayogaragazwa katika uwanja wa Wembley.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani