Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea,Man City zatoshana nguvu

Timu ya Chelsea na Manchester City zatoka sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zatoshana nguvu

Timu za soka za Simba na Yanga zimelazimika kugawana pointi katika mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kwenda sare ya bao 1-1.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoshana nguvu na Man City

Kiwango cha soka zuri walilonyesha kimewapa matumaini mashabiki wa Arsenal baada ya wiki ya vipigo.

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO

Mshambuliaji wa timu ya Yanga , Hamis Kiiza (kulia) akiwania mpira na beki wa timu ya Simba, Nassor Masoud, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba. Mshamuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Simon Msumva (kulia) akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1...

 

10 years ago

Vijimambo

Chelsea, Man U, City washinda

ngumiBy Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.

Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Man City vitani

Chelsea wanasaka kuendeleza rekodi yao ya kutokufungwa mechi 24 leo watakapoivaa Newcastle United katika Ligi Kuu England.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City ndio wenye nguvu zaidi - Pellegrini

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini timu yake ndiyo yenye nguvu zaidi katika Ligi ya Premia, wachezaji wake wote wakiwa sawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool

Droo ya michuano ya kombe la FA imefanywa punde kwa mechi za mchujo wa raundi ya tano. Man City watakutana na Chelsea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani