Chelsea,Man City zatoshana nguvu
Timu ya Chelsea na Manchester City zatoka sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Simba, Yanga zatoshana nguvu
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Arsenal yatoshana nguvu na Man City
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Chelsea, Man U, City washinda
![ngumi](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/ngumi-634x400.jpg)
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.
Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Chelsea, Man City vitani
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Man City ndio wenye nguvu zaidi - Pellegrini
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool