Chelsea, Man U, City washinda
By Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.
Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Chelsea washinda, Man Utd walazwa nyumbani
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Chelsea, Man City vitani
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Chelsea,Man City zatoshana nguvu
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Lampard ainusuru Man City 1-1 Chelsea
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Man U hoi, Chelsea, City ‘ngoma droo’