Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lampard ainusuru Man City 1-1 Chelsea

Mchezaji wa akiba Frank Lampard aliifungia Manchester City bao la kusawazishia dhidi ya Chelsea katika mechi ya kukata na shoka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Express

Key Chelsea problem Frank Lampard must fix explained by Paul Merson after Man Utd loss

Key Chelsea problem Frank Lampard must fix explained by Paul Merson after Man Utd loss  ExpressCommentator shouts 'Harry Potter!' after Harry Maguire's goal for Manchester United v Chelsea  GIVEMESPORTChelsea 0-2 Manchester United: Three things we learned  The Busby Babe'Everyone knows that Pogba wants to leave' - Man Utd's star's brother fuels transfer speculation  Goal.comMan United confident of beating Chelsea FC to sign Jadon Sancho – report  The Sport ReviewView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Chelsea, Man U, City washinda

ngumiBy Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.

Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Man City vitani

Chelsea wanasaka kuendeleza rekodi yao ya kutokufungwa mechi 24 leo watakapoivaa Newcastle United katika Ligi Kuu England.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea,Man City zatoshana nguvu

Timu ya Chelsea na Manchester City zatoka sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City Vs Chelsea,Arsenal Vs Liverpool

Droo ya michuano ya kombe la FA imefanywa punde kwa mechi za mchujo wa raundi ya tano. Man City watakutana na Chelsea.

 

11 years ago

GPL

VAN PERSIE AINUSURU MAN UNITED

Robin van Persie akishangilia moja ya bao alilofunga usiku wa kuamkia leo walipokuwa wakicheza na Olympiakos katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie alifunga mabao matatu na kuisaidia mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Manchester United, kujikatia tiketi ya kushiriki robo fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya baada ya kuinyuka Olympiakos mabao 3-0 katika mechi ya mkondo wa pili iliyochezwa Old Trafford....

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Persie ainusuru Man United

Van persie aliiongoza Man United kufuzu kwa robo fainali ya kombe la mabingwa Uropa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani