Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL

Baada ya Bundesliga kuanza kutimua vumbi, Pazia la ligi Kuu nchini Uingereza linatarajia kufunguliwa Juni 17 mwaka huu kwa mechi mbili kuchezwa.

Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.

Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni, zaidi ya miezi mitatu baada ya kuahirishwa

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Stoke City yaipiga Newcastle 1-0.

Goli la mapema la Stoke City lililopachikwa na Peter Crouch kwa njia ya kichwa limezidi kumwongezea tumbo joto boss wa Newcastle Alan Pardew.

 
Katika dakika ya 15 Crouch aliruka juu na kukutana na krosi iliyotumwa na Victor Moses kutokea kushoto ambapo hakufanya ajizi akaukwamisha mpira wavuni.

 
Kipigo hicho sasa kimeamsha hasira za mashabiki wa Newcastle juu ya meneja wao Pardew.

 

BBC

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.

Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u

shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.

Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.

Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.

katika matokeo mengine

Everton 0 – 2 Sunderland

Aston Villa 1 – 0 West...

 

10 years ago

Vijimambo

ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND

Timu ya soka ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Hull City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza. Mlinda mlango wa Hull City, Steve Harper akiwa hana la kufanya zaidi ya kuuangalia mpira ukijaa wavuni.Ikicheza ugenini katika uwanja wa KC, washika bunduki hao wa jiji la London walionyesha kandanda la hali ya juu na kuonyesha ubora wao wa kumiliki mpira hadi mwisho wa mchezo wao.
Mabao mawili toka kwa mshambuliaji wake mwenye kasi Alexis Sanchez...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani