Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.
Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.
katika matokeo mengine
Everton 0 – 2 Sunderland
Aston Villa 1 – 0 West...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV03 Dec
Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.
Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Sunderland yaipiga Crystal Palace.
10 years ago
StarTV30 Sep
Ligi Kuu Uingereza, Stoke City yaipiga Newcastle 1-0.
Goli la mapema la Stoke City lililopachikwa na Peter Crouch kwa njia ya kichwa limezidi kumwongezea tumbo joto boss wa Newcastle Alan Pardew.
Katika dakika ya 15 Crouch aliruka juu na kukutana na krosi iliyotumwa na Victor Moses kutokea kushoto ambapo hakufanya ajizi akaukwamisha mpira wavuni.
Kipigo hicho sasa kimeamsha hasira za mashabiki wa Newcastle juu ya meneja wao Pardew.
BBC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoYgv82AiBZc3JayP58LzO*MdzqEZPkENxwDoKPjBM*ZoQQgwVaL3DU*6wnTXROlUMI9KaBCwz3wDhNV-PVAHmht/MANUTD8.jpg?width=650)
MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s72-c/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s640/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
LIGI KUU: Simba yaipiga ‘mkono’ Prisons
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/81342000/jpg/_81342937_gettyimages_464743332.jpg)
Southampton v Crystal Palace
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79941000/jpg/_79941472_sadio_manegoal2.jpg)
Crystal Palace 1-3 Southampton