Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND

Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Man City yaongoza ligi kuu England

Klabu ya Manchester City yashika usukani kwenye jedwali la msimamo wa ligi kuu Egland kwa ushindi wa mabao 5-1 dhidi Tottenham.

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.

Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u

shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.

Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.

Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.

katika matokeo mengine

Everton 0 – 2 Sunderland

Aston Villa 1 – 0 West...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam kimeonesha furaha yake baada ya timu tatu zilizo katika himaya yake, kumaliza katika nafasi za juu kwenye ligi kuu Tanzania bara iliyomalizika jumamosi mei 9,2015.
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...

 

9 years ago

Bongo5

Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England

Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]

 

11 years ago

Mwananchi

Man Utd kwa Spurs kivumbi England leo

Wakati Manchester United na Tottenham Hotspur leo watapigana kuwania kuingia nne bora, Arsenal, Chelsea na Manchester City zenyewe zitaendeleza mbio zao kileleni.

 

10 years ago

Mwananchi

Man Utd, Arsenal, Chelsea kuwasha moto upya England

Ligi Kuu England inaendelea leo kwa mechi kadhaa ingawa haiwezi kubadili msimamo wa ligi hiyo, hasa kwenye nafasi za juu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu England kuendelea

Ligi kuu ya soka ya England inatarajia kuendelea tena wikendi hii kwa michezo kadhaaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani