MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Man City yaongoza ligi kuu England
10 years ago
StarTV03 Dec
Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.
Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...
10 years ago
StarTV10 May
Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.
Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.
katika matokeo mengine
Everton 0 – 2 Sunderland
Aston Villa 1 – 0 West...
10 years ago
Michuzi10 May
DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Man Utd kwa Spurs kivumbi England leo
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Man Utd, Arsenal, Chelsea kuwasha moto upya England
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Ligi kuu England kuendelea