Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s72-c/kiiza.png)
Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HHfNycl_Mvs/VicGKpWPCbI/AAAAAAAIBbQ/fZzeTeujkMY/s640/kiiza.png)
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
CloudsFM20 Apr
Balotelli ndiye mchezaji anayeongoza kwa kubaguliwa Ligi Kuu ya Uingereza.
Kick it Out wameripoti takwimu hizo za kushtua, ambao walibaini kwamba raia huyo wa Itali (Mario Balotelli) alilengwa sana katika mitandao ya Twitter huku mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck akipokea ujumbe 1700 asilimia hamsini kati ya hizo zikiwa za...
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL
Mshambulizi wa Liverpool Luis Suarez ni mchezaji bora msimu huu nchini Uingereza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoYgv82AiBZc3JayP58LzO*MdzqEZPkENxwDoKPjBM*ZoQQgwVaL3DU*6wnTXROlUMI9KaBCwz3wDhNV-PVAHmht/MANUTD8.jpg?width=650)
MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6hKmnL4HQSs/VJ6hfIM3iFI/AAAAAAAG6Bc/C_-XDF8Tkak/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Vodacom yamzawadia Mchezaji Bora wa ligi kuu Tanzania bara wa mwezi Novemba
![](http://3.bp.blogspot.com/-6hKmnL4HQSs/VJ6hfIM3iFI/AAAAAAAG6Bc/C_-XDF8Tkak/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-or_d3lWUosE/VUdddVD4d5I/AAAAAAAHVIk/KZEIO6Js-vI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Godfrey Wambura mchezaji bora wa Ligi kuu ya Vodacom kwa mwezi wa pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-or_d3lWUosE/VUdddVD4d5I/AAAAAAAHVIk/KZEIO6Js-vI/s640/unnamed%2B(8).jpg)
5 years ago
MichuziSadallah Lipangile awa mchezaji bora wa mwezi Februari Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZvhDJMKxL3wOnBcvfwHphfJDBfggDZ27RR3pUX6fGUMXhZbvZlt1ziUKhmjphA6o4IfQyEsO7Y*yKCthpMuGSG/bango.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania