Man City yaongoza ligi kuu England
Klabu ya Manchester City yashika usukani kwenye jedwali la msimamo wa ligi kuu Egland kwa ushindi wa mabao 5-1 dhidi Tottenham.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 May
Norwhich City,yarejea ligi kuu England
Klabu ya soka ya England Norwhich City imefanikiwa kurejea katika ligi kuu ya baada kuifunga Middlesbrough 2-0.
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England
 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England
Chelsea ina nafasi ya pekee ya kufikisha pointi nane dhidi ya Manchester City leo katika mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.
10 years ago
GPL
MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…
10 years ago
Vijimambo
ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND




5 years ago
Michuzi
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL

Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Yanga yaongoza ligi kuu Tanzania
Timu ya Yanga imepanda kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania baada ya kuilaza Prisons 3-0 Alhamisi.
10 years ago
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania