ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s72-c/A%2B1.jpg)
Timu ya soka ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Hull City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza.
Mlinda mlango wa Hull City, Steve Harper akiwa hana la kufanya zaidi ya kuuangalia mpira ukijaa wavuni.
Ikicheza ugenini katika uwanja wa KC, washika bunduki hao wa jiji la London walionyesha kandanda la hali ya juu na kuonyesha ubora wao wa kumiliki mpira hadi mwisho wa mchezo wao.
Mabao mawili toka kwa mshambuliaji wake mwenye kasi Alexis Sanchez...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Arsenal yapeta Ligi Kuu England
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO69NUWO365Uw5uKqUsIQzIahb-5jr9Qo4J-LmosFq7vZ8FYsoZFfppVYR*rBGJ9rboBCj2-SHWWN9LlbLdDaj0U/arsenal.jpg?width=650)
ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND
9 years ago
Mwananchi17 Aug
LIGI KUU ENGLAND: Ukuta Arsenal na safari ndefu ya ubingwa
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Man City yaongoza ligi kuu England
10 years ago
BBCSwahili26 May
Norwhich City,yarejea ligi kuu England
10 years ago
Mwananchi25 May
LIGI KUU ENGLAND 2015/16: Je, msimu ujao mabingwa ni Arsenal au Manchester United?
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England