Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.
Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u
shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.
Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 May
Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.
Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.
katika matokeo mengine
Everton 0 – 2 Sunderland
Aston Villa 1 – 0 West...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoYgv82AiBZc3JayP58LzO*MdzqEZPkENxwDoKPjBM*ZoQQgwVaL3DU*6wnTXROlUMI9KaBCwz3wDhNV-PVAHmht/MANUTD8.jpg?width=650)
MAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zM1Unn6f9eI/VUXQ_d2Z64I/AAAAAAABNQs/oXt5XN9ql3M/s72-c/283D482600000578-3065401-image-a-172_1430582855813.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA, STEVEN GERALD ACHANGIA USHINDI WA LIVERPOOL KUIFUNGA QPR 2-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-zM1Unn6f9eI/VUXQ_d2Z64I/AAAAAAABNQs/oXt5XN9ql3M/s1600/283D482600000578-3065401-image-a-172_1430582855813.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XePcKs6H6uo/VUXRAZKjk1I/AAAAAAABNQw/KrhfCVGiHHw/s1600/283D230600000578-3065401-image-a-167_1430582459604.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tnYjEiDwACA/VUXRADtX6kI/AAAAAAABNQ4/9t1mylILsYU/s1600/283C79FA00000578-0-image-a-100_1430578095609.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s72-c/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s640/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
5 years ago
Mirror Online25 Mar
Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Liverpool hoi, Man City v Utd
10 years ago
GPLHALF TIME: MAN UTD 2 - 0 LIVERPOOL
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Liverpool yainyuka Man Utd Old Trafford