Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIGI KUU: Simba yaipiga ‘mkono’ Prisons

>Ushindi mnono wa mabao  5-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya kwenye Ligi Kuu umeipa faraja Simba na pengine utazima vurugu zilizokuwa zikihisiwa kutokea  kwenye mkutano mkuu wa wanachama leo kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Stoke City yaipiga Newcastle 1-0.

Goli la mapema la Stoke City lililopachikwa na Peter Crouch kwa njia ya kichwa limezidi kumwongezea tumbo joto boss wa Newcastle Alan Pardew.

 
Katika dakika ya 15 Crouch aliruka juu na kukutana na krosi iliyotumwa na Victor Moses kutokea kushoto ambapo hakufanya ajizi akaukwamisha mpira wavuni.

 
Kipigo hicho sasa kimeamsha hasira za mashabiki wa Newcastle juu ya meneja wao Pardew.

 

BBC

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu Uingereza, Man Utd yaipiga Crystal Palace 2-1.

Marouane Fellaini alifunga bao la ushindi katika kipindi cha pili cha mechi dhidi ya Crystal Palace na kuipatia Manchester United ushindi wa kufuzu katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.

Ashley Young ndiye aliyesaidia pakubwa katika mabao yote mawili baada ya kumnawisha mpira beki wa Crystal Palace na kupata penalti iliofungwa na Juan Mata na baadaye kutoa pasi nzuri iliotiwa kimywani na Fellaini kunako dakika ya 77.

katika matokeo mengine

Everton 0 – 2 Sunderland

Aston Villa 1 – 0 West...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Prisons ianze kuja na majibu siyo maswali

Wengi waliamini kuwa katika msimu uliopita, 2014/15 Prisons ingekuja na majibu ya ubovu wao wa msimu wa 2013/14 kwa kufanya vizuri zaidi, cha ajabu haikuja na majibu na kwa mwaka wa pili mfululizo ilinusurika katika siku ya mwisho ya msimu.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani