Ligi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan
Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.
Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Shaba na Chuoni bao 1-1 uwanja wa Amaan leo
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s72-c/A%2B1.jpg)
ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7IzdgeALC4/VUhIpnzBmVI/AAAAAAAA8T8/Rk-cMrtqGVI/s640/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ui7-46xYhKs/VUhIqJpLz1I/AAAAAAAA8T0/ckFUsFbCChs/s640/A%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a4-41Q1KTv4/VUhIqZTXPiI/AAAAAAAA8UA/yCpEisME2RU/s640/A%2B3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wmIUthkBZz0/VUhIrVSyBGI/AAAAAAAA8UE/Xb3YInv-Sog/s640/A%2B4.jpg)
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Muungano ya Netiboli yaendelea Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar
9 years ago
Habarileo01 Jan
JKU yajiimarisha ligi ya Zanzibar
LIGI Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja iliendelea tena juzi kwa kupigwa mechi mbili tofauti kwenye uwanja wa Amani.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s72-c/IMG_8354.jpg)
DK. SHEIN AFUNGA MASHINDANO YA RIADHA UWANJA WA AMAAN,ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s1600/IMG_8354.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2S3JWfGfVqE/VJ8XpGBNh5I/AAAAAAAG6FA/hc14ylXfDYU/s1600/IMG_8359.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yB-pXthjMQ8/VKl4Nz66YqI/AAAAAAADUPI/ZSW_sjCnjmY/s72-c/coutinho-shangwe-za-goal.jpg)
YANGA NI MWENDO WA NNE TU UKISOGEA UNAZO UWANJA WA AMAAN, ZANZIBAR, LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-yB-pXthjMQ8/VKl4Nz66YqI/AAAAAAADUPI/ZSW_sjCnjmY/s1600/coutinho-shangwe-za-goal.jpg)
Baada ya kuitwanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0 katika mechi ya Kombe la Mapinduzi, wamefanya hivyo tena kwa Polisi Zanzibar.
Katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, Yanga ilipata mabao yake kupitia Andrey Coutinho aliyefunga mawili, Kpah Sherman na Simon Msuva.
Yanga ingeweza kufunga mabao mengi zaidi kutokana na kuutawala mchezo,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-z7XqeUO08i8/Vgbr1gwKoxI/AAAAAAAC_t0/PFe-L-QO5I4/s72-c/DSC_0812.jpg)
FAINALI YA MCHEZO WA BAO NA KARATA EACROTANALI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z7XqeUO08i8/Vgbr1gwKoxI/AAAAAAAC_t0/PFe-L-QO5I4/s640/DSC_0812.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-igZPPCM4yhY/Vgbr15swfLI/AAAAAAAC_t4/ZpBleEL4l8A/s640/DSC_0820.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10