FAINALI YA MCHEZO WA BAO NA KARATA EACROTANALI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z7XqeUO08i8/Vgbr1gwKoxI/AAAAAAAC_t0/PFe-L-QO5I4/s72-c/DSC_0812.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akicheza bao la kete na mzee Abdalla Salim Kitambo wa Wilaya ya Mjini wakati alipofika kuyafunga mashindano ya fainali ya mchezo huo na mchezo wa Karata katika viwaja vya Eacrotanal leo
Baadhi ya Timu mbali mbali za Michezo ya Bao la Kete na karata wakiwa katika fainali ya michezo hiyo iliyofanyika leo katika viwanja vya Eacrotanal Mjini Unguja,wakati mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDk Shein Mgeni Rasmin Fainali za Mchezo wa Bao na Karata Viwanja vya Ekrotanali Zanzibar.
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Zanzibar: JKU yaitandika KVZ bao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan
Mchezo uliochezwa jioni mabao ya JKU yamefungwa katika kipindi cha kwanza na katika dakika ya 8 mshambuliaji wa Timu ya JKU Mbarouk Chande ameipatia bao timu yake katika dakika ya nane ya mchezo huo kipindi cha kwanza na Bao la ushindi la JKU limepatikana katika kipindi hicho cha kwanza katika dakika ya 35 ya...
10 years ago
VijimamboMchezo wa karata : umefika wakati kuwekewa kanuni zake.
MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)
10 years ago
MichuziSHIRIKISHO LA MCHEZO WA BAO TANZANIA (SHIMBATA) KUMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA.
Shirikisho la mchezo wa Bao nchini (SHIMBATA) nilatarajia kufanya Tamasha kubwa la mchezo huo kwa ajili ya kumuunze aliekuwa mlezi wa mchezo huo hapa nchini Hayati Mzee Rashidi Mfaume Kawawa kama sehemu ya kumbukumbu ya miaka mitano ntangu afariki Dunia.
Tamasha hili ambalo litaudhuriwa na wanafamilia ya Mzee Kawawa wakiwemo watoto wake Mh Vita R. Kawawa Mbunge wa Namtumbo (CCM) na Mh Zainabu R. Kawawa Mbunge viti maalumu (CCM) linatarajiwa kufanyika hapo kesho...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B(16).jpg)
Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1j--ewyczCo/VVrzyxB0bCI/AAAAAAAHYM8/TGQIjB3UrWE/s640/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pFXPux-cO5s/VVrzzL0ND2I/AAAAAAAHYNA/MfUmT8rcUhc/s640/unnamed%2B(17).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-haE6RIzUbNc/U1TZ6lpKtFI/AAAAAAAFcHs/BKCOHl7FTnk/s72-c/New+Picture+(11).png)
SHIRIKISHO LA MCHEZO WA BAO TANZANIA LA LAANI VIKALI WANASIASA WANAO WAKASHFU WAASISI WA MUUNGANO
Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania limelaani vikali wanasiasa wanao simama na kutoa maneno ya kejeli zidi ya waasisi wa Muungano wa Tanzania Bara na Visiwani kwani huko ni kutokuwa na maadili yenye sura alisi ya Utanzania.
Hayo yamesemwa na Raisi wa shirikisho hilo Bw Monday Likwepa kwenye Mashindano ya Mchezo maalum wa Bao wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania Bara na Visiwani yanayo fanyika Makumbusho na Nyumba ya...
10 years ago
VijimamboSTARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oCJlwSPYvC0/U7heJupiEdI/AAAAAAAFvQs/hvBXMkXg3Yo/s72-c/article-2681713-1F699DCC00000578-862_634x423.jpg)
Argentina yasonga nusu fainali kwa kuibanjua Ubelgiji bao 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-oCJlwSPYvC0/U7heJupiEdI/AAAAAAAFvQs/hvBXMkXg3Yo/s1600/article-2681713-1F699DCC00000578-862_634x423.jpg)