STARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika michuano ya kombe la Cosafa, baada ya kufungwa mabao 2 - 0 na Madagascar, mchezo uliofanyika katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER
![](http://2.bp.blogspot.com/-xpUSHP4S-GI/VV28UFEJLuI/AAAAAAAHY0E/URrSeKzokCQ/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVKnRIPQFuc/VV28UPVrDEI/AAAAAAAHY0A/J0-HiZ28Lgw/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboTHE TANZANITE YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 4-0 KUTOKA KWA CHIPOLOPOLO
9 years ago
VijimamboSIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nWrDlXjNvCU/VgbC1hHB8MI/AAAAAAABhB8/PhvTRTa0I34/s640/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
9 years ago
VijimamboSTAND UNITED YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA SIMBA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRiVXDIl5dE/U5tHtaBRYXI/AAAAAAAFqb8/oSTNl6ktnl0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
10 years ago
VijimamboRUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA
Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B(16).jpg)
Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1j--ewyczCo/VVrzyxB0bCI/AAAAAAAHYM8/TGQIjB3UrWE/s640/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pFXPux-cO5s/VVrzzL0ND2I/AAAAAAAHYNA/MfUmT8rcUhc/s640/unnamed%2B(17).jpg)
11 years ago
GPLSIMBA SC YAIANGUSHIA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO