SIMBA SC YAIANGUSHIA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO
Mshambuliaji wa Simba SC, Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' dhidi ya JKT Oljoro leo. TIMU ya Simba SC imeishushia kichapo cha bao 4-0 timu ya maafande ya JKT Oljoro leo katika mtanannge uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' wakati lingine likifungwa na Jonas Mkude. Kwa matokeo ya leo Simba imefikisha pointi 30 baada ya kucheza michezo 15 ikiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0
9 years ago
VijimamboSIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nWrDlXjNvCU/VgbC1hHB8MI/AAAAAAABhB8/PhvTRTa0I34/s640/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
9 years ago
VijimamboSTAND UNITED YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA SIMBA
11 years ago
TheCitizen01 Feb
Simba SC target JKT Oljoro scalp
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lQ0QUhfJdPFUl0yHCFaz*gwEZCyKzyerKWT10cbxuV0mxdcydwYoEa1MZtcRIsIVST12T9sxBiQSbWMOF*KpxQ7JVw3ii*5J/s4.jpg?width=750)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA
10 years ago
VijimamboTHE TANZANITE YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 4-0 KUTOKA KWA CHIPOLOPOLO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s72-c/CHE%2B1.jpg)
HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s1600/CHE%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FZcsTfEi8mA/VUGsxRAVZtI/AAAAAAAA79g/W421Xhfpkdg/s1600/CHE%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6jFFVuz3nWw/VUGsxa_2UPI/AAAAAAAA79k/lhatEWudGnI/s1600/CHE%2B3.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Jan
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…
![](http://api.ning.com/files/lQ0QUhfJdPH3clEPGgip55xJJqfb2yRLfvpv1jYYpHG7WGe1NvjVBbexK*lKZRoqwrmLn0XizapiW8qXb-am-abjsWdIBTTE/sserunkuma22.jpg?width=750)
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.