Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMBA SC YAIANGUSHIA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO

Mshambuliaji wa Simba SC, Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' dhidi ya JKT Oljoro leo. TIMU ya Simba SC imeishushia kichapo cha bao 4-0 timu ya maafande ya JKT Oljoro leo katika mtanannge uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' wakati lingine likifungwa na Jonas Mkude. Kwa matokeo ya leo Simba imefikisha pointi 30 baada ya kucheza michezo 15 ikiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0

 Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Oljoro JKT uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Simba imeshinda 4-0.   Kikosi cha timu ya Oljoro JKT kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya Simba.  Waamuzi wa mchezo huo wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi.  Haruna Chanongo (shoto), akiwania mpira na beki wa Oljoro JKT, Aziz Yusuf.  Chanongo akimtoka beki wa Oljoro JKT.  Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akishangilia...

 

9 years ago

Vijimambo

SIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA

Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia na Kelvin Yondan (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia goriMshambuliaji wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akitafuta...

 

9 years ago

Vijimambo

STAND UNITED YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA SIMBA

Beki wa Simba, Murshid Juuko akiwatoka wachezaji wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa leo. Simba imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)Mshambuliaji wa Simba, Simon Sserunkuma akimtoka beki wa Stand United, Abuu Ubwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC target JKT Oljoro scalp

An arduous task awaits JKT Oljoro when they take on in-form Simba SC in the Vodacom Premier League match at the National Stadium this afternoon.

 

11 years ago

Michuzi

Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0

Mchezaji wa Timu ya JKT Ruvu,Emmanuel Switta akimpeleka markiti Golikipa wa timu ya Simba, Yaw Berko kwa mkwaju mkali wa Penati na kuiandikia timu yake bao la pili katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara,unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.hadi mapumziko Simba wamelala kwa Bao 2 - 0.kipindi cha pili kimeanza hivi punde na tutaendelea kujuzana kinachojili.
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.

 

10 years ago

GPL

SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16. Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

10 years ago

Vijimambo

THE TANZANITE YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 4-0 KUTOKA KWA CHIPOLOPOLO

Waamuzi wa mchezo kati ya timu ya taifa ya ska ya Tanzania chini ya mkiaka 20 ya The Tanzanite wakiingia uwanjani wakati timu hiyo ilipopambana na Zambia katika mchezo wa kufuvu kucheza fainali ya Kombe la Dunia kwa Wanawake. Janeth Christopher wa The Tanzanite akimiliki mpira Mary Wilombe. Beki wa The Tanzanite, Zuwena Aziz akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Zambia.
 Kikundi cha ushangiliaji kikishangilia timu ya The Tanzaniate. Mshambuliaji wa The Tanzanite, Stumai Abdallah akitafuta...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

10 years ago

Vijimambo

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…


Mshambuliaji wa Simba, Danny Sserunkuma.
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani