Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba SC target JKT Oljoro scalp

An arduous task awaits JKT Oljoro when they take on in-form Simba SC in the Vodacom Premier League match at the National Stadium this afternoon.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Azam chase history as Yanga target Oljoro scalp

Azam FC head coach Joseph Omog says he won’t let his players be distracted by the prospects of making history as they take on Mbeya City in a potential Premier League title decider this afternoon.

 

11 years ago

TheCitizen

In-form Simba target KCC scalp

Simba SC will be subjected yet to another tricky test today when they clash with KCC of Uganda in the Mapinduzi Cup final at the Amaan Stadium.

 

11 years ago

TheCitizen

Classy Simba target Mtibwa scalp in VPL

>Simba head coach Zdravko Logarusic has warned his players not to rest on their laurels as the Vodacom Premier League title challengers look to maintain their winning run against Mtibwa Sugar today.

 

11 years ago

GPL

SIMBA SC YAIANGUSHIA KICHAPO CHA BAO 4-0 JKT OLJORO

Mshambuliaji wa Simba SC, Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' dhidi ya JKT Oljoro leo. TIMU ya Simba SC imeishushia kichapo cha bao 4-0 timu ya maafande ya JKT Oljoro leo katika mtanannge uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Amissi Tambwe aliyetupia 'hat trick' wakati lingine likifungwa na Jonas Mkude. Kwa matokeo ya leo Simba imefikisha pointi 30 baada ya kucheza michezo 15 ikiwa...

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA YAFANYA KUFURU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA JKT OLJORO BAO 4-0

 Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Oljoro JKT uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Simba imeshinda 4-0.   Kikosi cha timu ya Oljoro JKT kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya Simba.  Waamuzi wa mchezo huo wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi.  Haruna Chanongo (shoto), akiwania mpira na beki wa Oljoro JKT, Aziz Yusuf.  Chanongo akimtoka beki wa Oljoro JKT.  Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akishangilia...

 

11 years ago

TheCitizen

Azam FC target Rayon SC scalp

Six teams are in action at different venues today as this year’s Cecafa Kagame Cup tournament roars into in Rwanda.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Yanga target BDF scalp

>Mainland giants Young Africans must be harbouring hopes of making a flying start in the continent’s second-tier competition.

 

9 years ago

StarTV

JKT Oljoro yatinga kileleni.

Maafande wa JKT Oljoro wametinga  kileleni mwa kundi C baada ya kuwachezesha kwata  maafande wenzao  wa Polisi Tabora kwa bao 1-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Haikuwa rahisi kwa wafunga buti hao wa Oljoro kupata bao hilo mapema kwani iliwabidi wasubiri hadi kipindi cha kwanza kimalizike.

Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kuanza kwa kasi  baada ya makocha wa timu zote mbili kufanya mabadiliko ya wachezaji , mabadiliko hayo yalizaa matunda kwa...

 

9 years ago

StarTV

JKT Oljoro wazidi kung’ara.

Wafunga buti wa JKT Oljoro kwa mara nyingine wametoka na ushindi baada ya kuwachezesha gwaride wachimba madini wa Geita gold sports mabao 2- 1 mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Jijini Arusha.

Maafande hao wa JKT Oljoro wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani mara baada ya kuinyuka timu ya Geita gold sports magoli 2 kwa 1 mchezo ambao ulianza kwa kasi kwa kila timu kuonekana kuupania mchezo huo uliotimua vumbi katika viunga vya Sheikh Amri Abeid...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani