STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
Swaziland...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboSTARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)
Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]
The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MichuziSTARS YAWASILI, KOCHA AAHIDI KUFANYA VIZURI KATIKA MCHEZO WAO DHIDI YA ALGERIA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2K4mum7YfI/default.jpg)
10 years ago
MichuziSIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA
10 years ago
MichuziSimba Imeshinda katika mchezo wake wa Pili wa Mazoezi dhidi ya Timu ya Black Sailor kwa mabao 4--0