Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA

 Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said. Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.
 Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdukadir. Beki wa Yanga, Salum Telela...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Zanzibar: Mafunzo na KMKM zatoka Sare ya Bao 1--1

Mchezaji wa Timu ya Mafunzo na Kmkm wakishindana nguvu wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Beki wa timu ya KMKM akimkata mtama mshambuliaji wa timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Kocha Mkuu wa Timu ya KMKM Ali Bushiri (Bush) akiwakaripia wachezaji wake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar...

 

10 years ago

Vijimambo

RUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA

 Timu zikiingia uwanjani.  Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).
 Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.

 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA

Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia na Kelvin Yondan (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia goriMshambuliaji wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akitafuta...

 

10 years ago

Michuzi

KMKM YALALA KWA BAO 3-1 DHIDI YA GOR MAHIA YA KENYA

Beki wa Timu ya Gor Mahia ya Nchini Kenya, Harun Shakava (18) akizuia mpira uliokuwa ukimilikiwa na Kiungo wa Timu ya KMKM ya Zanzibar, Iddi Kambi Iddi (6) wakati wa mtanange wa Mashindano ya Cecafa Kagame Cup uliopigwa jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Gor Mahia imeshinda bao 3-1.Wachezaji wa Timu ya Gor Mahia ya Nchini Kenya, Aucho Khalid (10) na Karim Nizigiyimana (14) wakishangilia ushindi wao dhidi ya timu ya KMKM ya Zanzibar, katika mtanange wa Mashindano ya Cecafa...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAITANDIKA KMKM YA ZANZIBAR 1-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said. Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2

Watanzania na marafiki zao wakijumuika kwenye nyama choma kabla ya mechi ya Simba na Yanga iliyochezewa Hyattsville, MD siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 na Simba kukubali kipigo cha boa 5-2 na kuendelea kuwa wateja Yanga DMV. Timu hizi uundwa na mashabiki wa Simba na Yanga wanaoishi DMV.Nyama choma ikiendeleaTimu ya Simba DMVTimu ya Yanga DMV

 

10 years ago

Michuzi

MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mchezaji wa timu ya Yanga,Mrisho Khalfan Ngassa akiwania mpira na Mchezaji wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana wakati wa mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika unaopigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jini Dar es salaam.Yanga inaongoza kwa bao 2 - 0 zilizotiwa kimiani na Mshambuliaji Hamis Tambwe. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Golikipa wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana akiondosha hatari iliyokuwa ikielekezwa langoni mwake wakati wa Mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani