SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2
Watanzania na marafiki zao wakijumuika kwenye nyama choma kabla ya mechi ya Simba na Yanga iliyochezewa Hyattsville, MD siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 na Simba kukubali kipigo cha boa 5-2 na kuendelea kuwa wateja Yanga DMV. Timu hizi uundwa na mashabiki wa Simba na Yanga wanaoishi DMV.Nyama choma ikiendeleaTimu ya Simba DMVTimu ya Yanga DMV
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboSIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia goriMshambuliaji wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akitafuta...
9 years ago
VijimamboTBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu
10 years ago
Vijimambo06 Dec
CHELSEA FC YAKUBALI KIPIGO CHAKE CHA KWANZA YACHAPWA 2-1 NA NEWCASTLE UNITED
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA
Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdukadir. Beki wa Yanga, Salum Telela...
10 years ago
VijimamboAZAM FC YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 - 1 KUTOKA KWA SIMBA
Himid Mao akijaribu kumzuia Said Ndemla wa Simba.mshambuliaji wa Simba, Said Ndemla akimtoka Himid Mao. Emmanuel Okwi akichuana na beki wa Azam FC, Agrey Moris.Agrey Moris na akichuana na Emmanuel Okwi. Kocha wa Simba, Goran...
10 years ago
Habarileo15 Jun
Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu
SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.
9 years ago
VijimamboSTAND UNITED YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA SIMBA
10 years ago
VijimamboTANZANIA DMV YAFUNGWA 7-1 NA SENEGAL
11 years ago
MichuziNews Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3