Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2

Watanzania na marafiki zao wakijumuika kwenye nyama choma kabla ya mechi ya Simba na Yanga iliyochezewa Hyattsville, MD siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 na Simba kukubali kipigo cha boa 5-2 na kuendelea kuwa wateja Yanga DMV. Timu hizi uundwa na mashabiki wa Simba na Yanga wanaoishi DMV.Nyama choma ikiendeleaTimu ya Simba DMVTimu ya Yanga DMV

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

SIMBA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2- 0 KUTOKA KWA YANGA

Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia na Kelvin Yondan (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia goriMshambuliaji wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akitafuta...

 

9 years ago

Vijimambo

TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE

Rais wa DMV ndugu Iddi Sandaly akikabidhiwa jezi za Simba na Yanga na mmoja ya wafanyakazi wa TBL Tanzania tayari kwa mpambano unaosubiliwa kwa hamu wa Simba na Yanga DMV
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu

 

10 years ago

Vijimambo

CHELSEA FC YAKUBALI KIPIGO CHAKE CHA KWANZA YACHAPWA 2-1 NA NEWCASTLE UNITED

Mshambuliaji wa timu ya Newcastle, Pappis Cisse akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 57 kipindi cha pili dhidi ya Chelsea katika Uwanja wa St James' Park.Pappis Cisse (kushoto) akifungia bao la pili timu yake ya Newcastle dakika ya 79.Wachezaji wa timu ya Newcastle wakishangilia kwa pamoja.Kipa wa Newcastle, Jak Alnwick akiokoa moja ya mashambulizi ya Chelsea.Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Drogba (katikati) akishangilia bao lake dakika ya 83. GPL

 

10 years ago

Vijimambo

KMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA

 Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said. Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.
 Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdukadir. Beki wa Yanga, Salum Telela...

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 - 1 KUTOKA KWA SIMBA

 Kikosi cha Azam FC kilichoanza leo. (Picha na Francis Dande)Kikosi cha Simba.Waamuzi wa mchezo wa Simba na Azam wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu zote kabla ya mchezo. Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe akichuana na mshambuliaji wa Simba, Said Ndemla.
Himid Mao akijaribu kumzuia Said Ndemla wa Simba.mshambuliaji wa Simba, Said Ndemla akimtoka Himid Mao. Emmanuel Okwi akichuana na beki wa Azam FC, Agrey Moris.Agrey Moris na akichuana na Emmanuel Okwi. Kocha wa Simba, Goran...

 

10 years ago

Habarileo

Shule yafungwa kwa hofu ya simba mla watu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SHULE ya Msingi Saadani Chumvi iliyopo Kata ya Mkange wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imefungwa baada ya wazazi kuwa na hofu baada ya watu wawili na mbuzi 70 kuliwa na Simba kutoka kwenye Hifadhi ya Taifa ya Saadani.

 

9 years ago

Vijimambo

STAND UNITED YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA SIMBA

Beki wa Simba, Murshid Juuko akiwatoka wachezaji wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa leo. Simba imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)Mshambuliaji wa Simba, Simon Sserunkuma akimtoka beki wa Stand United, Abuu Ubwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA DMV YAFUNGWA 7-1 NA SENEGAL

 Aliyekaa chini ni kocha mchezaji M. Libe akiwa ameumia nyonga iliyompelekea kutoka kwenye mechi ya Tanzania na Senegal katika mashindano ya DMV World Cup yaliyofanyika Hyattsville, Maryland na timu ya Tanzania DMV kupoteza mchezo huo kwa bao 7-1 zidi ya SenegalMpambano ni mkali kweli kweli.Beki wa Tanzania DMV akijaribu kumthibiti mchezaji wa Senegal katika mechi iliyochezwa Jumapili May 10, 2015 katika kiwanja cha Hyattsville.Mchezaji wa Senegal akiumiliki mpira mbele ya mchezaji wa...

 

11 years ago

Michuzi

News Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3

Timu ya Yanga imetolewa kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika baada ya kufungwa na Timu ya Al Ahly ya Misri kwa Mikwaju ya penalati 4-3.Hatua hiyo ya penati ilikuwa baada ya Yanga kufungwa bao 1 katika dakika 90 ya mchezo wao uliomalizika usiku huu huko mjini Alexandria. Katika Mchezo wa awali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,Yanga ilishinda bao 1 - 0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani