TANZANIA DMV YAFUNGWA 7-1 NA SENEGAL
Aliyekaa chini ni kocha mchezaji M. Libe akiwa ameumia nyonga iliyompelekea kutoka kwenye mechi ya Tanzania na Senegal katika mashindano ya DMV World Cup yaliyofanyika Hyattsville, Maryland na timu ya Tanzania DMV kupoteza mchezo huo kwa bao 7-1 zidi ya Senegal
Mpambano ni mkali kweli kweli.
Beki wa Tanzania DMV akijaribu kumthibiti mchezaji wa Senegal katika mechi iliyochezwa Jumapili May 10, 2015 katika kiwanja cha Hyattsville.
Mchezaji wa Senegal akiumiliki mpira mbele ya mchezaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s72-c/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s640/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AlqE8hlHKSU/VeMWdvj7kdI/AAAAAAAD43E/mIP0DPlc0PY/s640/b5860da35036c4a1b94648dbdc7c1615.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3dOeZjUm6cY/VeMWb_Gf8II/AAAAAAAD42c/b00VIief0W4/s640/8ff7e74bb1686bfa8590ff94e7c71a53.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B3KCESEW4eI/VeMXqYxfkKI/AAAAAAAD43Y/EstL5E6dX0g/s640/4c93c18490e8d6bf38090bd251893427.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-45eqYoit0EE/VeMWZ96S3MI/AAAAAAAD410/Nz9r2Rre7N8/s640/1af3efe6f23bba995fbf97910a453a94.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KQ9gkSm3ZKY/VeMWaOPemdI/AAAAAAAD414/aSK1Ui-_q0I/s640/3b9d531300fc2461841193fb728f2e1e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB1_pidwzKc/VeMWZ7DUVbI/AAAAAAAD418/i8CHBwSvXn4/s640/29e42a70613c33f470cafed3f9b848d9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yuyLS5xN2Yc/VeMWa9ym0lI/AAAAAAAD42U/JBNVtZNulxE/s640/630fc182a2137d3c19129ac2a1cee7c8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4_c8PE2T8U/VeMWcTwYbKI/AAAAAAAD42o/IDu1pUC386M/s640/9824a28452ae53dc4f54714259fd4c9c.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eeblH_GAbh8/VeMWbFHn6zI/AAAAAAAD42M/z1TTroLlJQM/s640/69182c974485f53a0c4e3277ce22c477.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DCH4rhUidn0/VeMWcpcPFvI/AAAAAAAD42w/WEy1DdS8Ehc/s640/a4432d04c246dc46d74d35ef8f834154.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mashindano ya Miss Tanzania yafungwa
11 years ago
Michuzi22 Jul
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Maduka ya Uchumi Supermarket yafungwa Tanzania, Uganda
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KISA RUSHWA YA NGONO MASHINDANO YA MISS TANZANIA YAFUNGWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/21/141021144415_miss_tanzania_2014_304x171_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandalizi kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni.
Mashindano hayo yaliofunguliwa mwaka 1994 yamedaiwa kuwa na upendeleo mbali na rushwa kulingana na malalamishi yaliotolewa na wananchi pamoja na washiriki.Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini Tanzania Basata , Godfrey Mngereza,kamati ya miss Tanzania ilikiuka kanuni na taratibu zinazoongoza mashindano...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s72-c/front%2Bsegerea.jpg)
MADUKA YA UCHUMI SUPERMARKET YAFUNGWA NCHINI TANZANIA NA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s640/front%2Bsegerea.jpg)
Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Uchumi, Dk Julius Kipng'etich, amesema Bodi imeamua kufunga vitengo vya kikanda ili kuimarisha shughuli zake nchini Kenya baada ya kupata hasara katika maduka yake ya Uganda na Tanzania."Maduka yetu ya Uganda na Tanzania huchangia asilimia 25 tu ya gharama za uendeshaji. Matawi hayo...
9 years ago
Vijimambo11 Oct
TANZANIA YAFUNGWA GOLI 1 NA MALAWI LAKINI YAPITA SASA KUKUTANA NA ALGERIA
![Mbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na Ulimwengu](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Stars-vs-Malawi-5.jpg)
Timu ya Tanzania Taifa Stars leo imefuzu kusonga mbele baada ya kufungwa goli 1-0 na Malawi goli lililopatikana katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo goli lililofungwa kifundi nje ya 18 na mchezaji machachali wa Malawi John Banda anayevaa jezi nambari 7.
Katika mchezo huo uliochezewa katika uwanja wa Kamuzu jijini...
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UvwL3Rs9NRk/VAnpx8TJ9mI/AAAAAAAAEVE/b48w150g9ko/s1600/logo%2Btanzania.jpg)
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aN7EqULMVg/VOA-w7tSj5I/AAAAAAAAGA8/TMIs4TSe4zE/s1600/14-1.jpg)
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...