KISA RUSHWA YA NGONO MASHINDANO YA MISS TANZANIA YAFUNGWA
Mashindanoa ya Miss Tanzania
Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandalizi kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni.
Mashindano hayo yaliofunguliwa mwaka 1994 yamedaiwa kuwa na upendeleo mbali na rushwa kulingana na malalamishi yaliotolewa na wananchi pamoja na washiriki.Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini Tanzania Basata , Godfrey Mngereza,kamati ya miss Tanzania ilikiuka kanuni na taratibu zinazoongoza mashindano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mashindano ya Miss Tanzania yafungwa
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q25Z4Naksm7wtM7*hyDUA8PDc3hnDe2uCarYZTmQAn3UOC6s186r02Yc7lK3sKQfB78zA*L6a8LMXZPTZ9ALWCW/lundenga.jpg?width=650)
ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
10 years ago
CloudsFM09 Oct
MISS TANZANIA YARUHUSIWA KUENDELEA MASHINDANO
Baada ya ubishi wa kisheria mahakamani, sasa mashindano ya ulimbwende ya Miss Tanzania mwaka 2014 yatafanyika Jumamosi kama ilivyopangwa na mshindi atazawadiwa Sh18 milioni.
Lino International Agency ambao ndio waandaaji wa mashindano hayo kupitia mkurugenzi wake, Hashim Lundenga walieleza jana kuwa wameshinda pingamizi la kukataa zuio la mashindano hayo kufanyika na Ukumbi wa Mlimani City utawaka moto Jumamosi ambako mshindi wa pili ataondoka na kitita cha Sh6 milioni na yule wa tatu...
10 years ago
GPLMISS TANZANIA 2013 KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA DESEMBA
9 years ago
Michuzi11 Nov
MASHINDANO YA MISS UNIVERSE TANZANIA 2015 KUANZA RASMI
Mpaka sasa hivi waandaaji wameanza kupokea fomu na picha za warembo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania na Zanzibar.
Miongoni mwa mikoa ambayo Miss Universe Tanzania imepokea na inaendelea kupokea fomu na picha za washiriki ni Arusha, Mwanza, Tanga, Iringa, Mbeya na Dar es Salaam. Zoezi la usaili na kupokea fomu kutoka mikoani litahitimishwa siku ya...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
MAONI: Tuboreshe ngazi za chini Mashindano ya Miss Tanzania
10 years ago
Vijimambo14 Nov
MISS TANZANIA 2013 AAHIDI MAKUBWA MASHINDANO YA UREMBO YA DUNIA