Mashindano ya Miss Tanzania yafungwa
Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania kutokana na ukikukaji wa taratibu na kanuni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KISA RUSHWA YA NGONO MASHINDANO YA MISS TANZANIA YAFUNGWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/21/141021144415_miss_tanzania_2014_304x171_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandalizi kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni.
Mashindano hayo yaliofunguliwa mwaka 1994 yamedaiwa kuwa na upendeleo mbali na rushwa kulingana na malalamishi yaliotolewa na wananchi pamoja na washiriki.Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini Tanzania Basata , Godfrey Mngereza,kamati ya miss Tanzania ilikiuka kanuni na taratibu zinazoongoza mashindano...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
10 years ago
CloudsFM09 Oct
MISS TANZANIA YARUHUSIWA KUENDELEA MASHINDANO
Baada ya ubishi wa kisheria mahakamani, sasa mashindano ya ulimbwende ya Miss Tanzania mwaka 2014 yatafanyika Jumamosi kama ilivyopangwa na mshindi atazawadiwa Sh18 milioni.
Lino International Agency ambao ndio waandaaji wa mashindano hayo kupitia mkurugenzi wake, Hashim Lundenga walieleza jana kuwa wameshinda pingamizi la kukataa zuio la mashindano hayo kufanyika na Ukumbi wa Mlimani City utawaka moto Jumamosi ambako mshindi wa pili ataondoka na kitita cha Sh6 milioni na yule wa tatu...
9 years ago
Michuzi11 Nov
MASHINDANO YA MISS UNIVERSE TANZANIA 2015 KUANZA RASMI
Mpaka sasa hivi waandaaji wameanza kupokea fomu na picha za warembo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania na Zanzibar.
Miongoni mwa mikoa ambayo Miss Universe Tanzania imepokea na inaendelea kupokea fomu na picha za washiriki ni Arusha, Mwanza, Tanga, Iringa, Mbeya na Dar es Salaam. Zoezi la usaili na kupokea fomu kutoka mikoani litahitimishwa siku ya...
10 years ago
GPLMISS TANZANIA 2013 KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA DESEMBA
11 years ago
Mwananchi22 Mar
MAONI: Tuboreshe ngazi za chini Mashindano ya Miss Tanzania
10 years ago
Michuzi08 Oct
Mahakama yaruhusu Mashindano ya Miss Tanzania kufanyika kama yalivyopangwa
Na Mwene Said,Globu ya Jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.
Kadhalika mahakama hiyo imesema maombi ya hati ya dharura yaliyowasilishwa na Patel hayana mashiko ya kisheria na...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
MISS TANZANIA 2013 AAHIDI MAKUBWA MASHINDANO YA UREMBO YA DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9y-U8eb2ju4/Uyqs_qPhr3I/AAAAAAAFVFM/HA6Yd13HqRw/s72-c/IMG_0414.jpg)
MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9y-U8eb2ju4/Uyqs_qPhr3I/AAAAAAAFVFM/HA6Yd13HqRw/s1600/IMG_0414.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_qV7YX-_76I/UyqtBKiMBQI/AAAAAAAFVFU/7M54lHj6DH8/s1600/IMG_0443.jpg)