Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania
Dar es Salaam. Serikali imesema imeyafungia mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandaaji kukiuka taratibu na kanuni huku pia yakitajwa kukithiri kwa rushwa ya ngono na upendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KISA RUSHWA YA NGONO MASHINDANO YA MISS TANZANIA YAFUNGWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/21/141021144415_miss_tanzania_2014_304x171_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandalizi kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni.
Mashindano hayo yaliofunguliwa mwaka 1994 yamedaiwa kuwa na upendeleo mbali na rushwa kulingana na malalamishi yaliotolewa na wananchi pamoja na washiriki.Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini Tanzania Basata , Godfrey Mngereza,kamati ya miss Tanzania ilikiuka kanuni na taratibu zinazoongoza mashindano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q25Z4Naksm7wtM7*hyDUA8PDc3hnDe2uCarYZTmQAn3UOC6s186r02Yc7lK3sKQfB78zA*L6a8LMXZPTZ9ALWCW/lundenga.jpg?width=650)
ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Q*aLMEZ1JbfKvJbjG3Og1VI37bdvOeLa89mvDrIXnBy5H1pe3VsTIficyXwfOTEDSERPoF-6DmMAnpOHmHb7Ig/FRONT.jpg?width=650)
RUSHWA YA NGONO YAMNASA KANJIBAI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDL7xlGQTNSZPX3RSMzDv2bwarjLCoy19jCbZcqcarkaJ6nV5yPCHGyDHzPYBBek*Q19wSAac6glbDLeeziyCALG/CHENI.jpg)
DK. CHENI: RUSHWA YA NGONO WANAITAKA WENYEWE!
10 years ago
GPL16 Feb
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Rushwa ya ngono iliniondoa Kaole-Batuli
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono, Batuli amefunguka hayo leo alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N64H0TyPAzpvhEpQ81tig0i7gb7mI4ifpEoIpLnUqLjLynAIgXt7AEvBa1Fm1S1fRxRzBdP75HHBuppOgrbqW1q/menina.jpg?width=650)
MENINA: ETI NITOE RUSHWA YA NGONO, MH!
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa. Anadaiwa kutumia...