TANZANIA YAFUNGWA GOLI 1 NA MALAWI LAKINI YAPITA SASA KUKUTANA NA ALGERIA
Mbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na Ulimwengu wakati Stars ikicheza dhidi ya Malawi kwenye uwanja wa Taifa
Timu ya Tanzania Taifa Stars leo imefuzu kusonga mbele baada ya kufungwa goli 1-0 na Malawi goli lililopatikana katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo goli lililofungwa kifundi nje ya 18 na mchezaji machachali wa Malawi John Banda anayevaa jezi nambari 7.
Katika mchezo huo uliochezewa katika uwanja wa Kamuzu jijini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Apr
YANGA YASONGA MBELE HATUA YA 16 YAFUNGWA GOLI 1 NA PLATNUM
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/yanga-april4-2015(1).jpg)
Mechi ya kwanza ya timu hizo iliyochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, timu ya Yanga ilishinda bao 5-1 dhidi ya timu hiyo ya Zimbabwe na kufanya timu ya Yanga kuibuka mshindi wa jumla ya mabao 5-2 dhidi ya Platnum,
Mchezaji Walter Msoma wa Platnum ndiye aliyeifungia...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Balozi ashauri sekta binafsi Malawi, Tanzania kukutana
BALOZI wa Malawi nchini, Hawa Ndilowe ameiomba Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (PSPF) kukutana na wenzao wa Malawi ili waweze kujenga uhusiano ambao utasaidia wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kufanya biashara pamoja.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
TP Mazembe kukutana na Algeria
10 years ago
Bongo527 Nov
AY aliweka ‘appointment ya kukutana na Dr Dre Marekani, wapanga mahali na siku lakini..
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
11 years ago
Malawi Today24 Mar
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Coastweek
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Alikaidi wazazi lakini sasa anajuta
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Avumaye kwa sasa ni Mandela, lakini na wengine wapo