TP Mazembe kukutana na Algeria
Klabu ya TP Mazembe ya Congo DRC, Itakutana na klabu ya Algeria USM Alger katika hatua ya fainali ya klabu bingwa barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
TP Mazembe kukutana na Sanfrecce Hiroshima
Mabingwa wa Afrika TP Mazembe kwatakutana na timu ya Sanfrecce Hiroshima kutoka Japan hatua ya robofainali fainali za Kombe la Dunia la Klabu.
9 years ago
Vijimambo11 Oct
TANZANIA YAFUNGWA GOLI 1 NA MALAWI LAKINI YAPITA SASA KUKUTANA NA ALGERIA
![Mbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na Ulimwengu](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Stars-vs-Malawi-5.jpg)
Timu ya Tanzania Taifa Stars leo imefuzu kusonga mbele baada ya kufungwa goli 1-0 na Malawi goli lililopatikana katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo goli lililofungwa kifundi nje ya 18 na mchezaji machachali wa Malawi John Banda anayevaa jezi nambari 7.
Katika mchezo huo uliochezewa katika uwanja wa Kamuzu jijini...
9 years ago
Vijimambo04 Sep
DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA
![](http://jewajua.com/wp-content/uploads/2015/09/Dr-Wilbroad-Slaa-Akitangaza-Kuachana-na-Sisa-za-Vyama-741x486.jpg)
SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...
11 years ago
BBCSwahili26 May
TP Mazembe 1-0 AS Vital
TP Mazembe ilisajili ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao wa jadi AS Vital
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Tp Mazembe mabingwa wa Afrika
Klabu ya soka ya TP Mazembe, ya Jamuhuri ya Kidemocrasia ya Congo imeutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Afrika.
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Samatta aipaisha TP Mazembe
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameiongoza TP Mazembe kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya USM Alger katika mchezo wa kwanza wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika mjini Bologhine.
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo
Former National soccer team, Taifa Stars head coach, Marcio Maximo, has said his task ahead is to make Young Africans Sports Club a strong side like TP Mazembe of the Democratic Republic of Congo (DRC).
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Samatta aivizia TP Mazembe
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea Klabu ya TP Mazembe ya DR. Congo, Mbwana Samatta, amesema hadi kufikia mwakani ndipo atajua hatima yake ya kucheza soka Barani Ulaya. Samatta, nyota...
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Katumbi na matarajio ya TP Mazembe
Mmiliki na mwenyekiti wa timu ya soka ya TP Mazembe kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo Moise Katumbi amesema ana mpango wa kuiimairisha timu hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania