Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katumbi na matarajio ya TP Mazembe

Mmiliki na mwenyekiti wa timu ya soka ya TP Mazembe kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo Moise Katumbi amesema ana mpango wa kuiimairisha timu hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Katumbi reveals TP Mazembe ambitions

TP Mazembe chairman Moise Katumbi reveals his ambitious plans to make the club a major force in the world game.

 

11 years ago

BBC

Katumbi urges major investment in Africa

TP Mazembe president, Moise Katumbi, says African clubs need European-style investment in order to improve.

 

9 years ago

Global Publishers

Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta

SamataBwana580211.jpgIbrahim Mussa na Hans Mloli

MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi kwani Bosi wa TP Mazembe, Moise Katumbi ameitangazia Koninklijke Racing Club Genk ya Ubelgiji dau la euro milioni 2.5.

Kwa thamani ya sasa ya fedha, euro milioni 2.5 ni sawa na Sh bilioni 5.7, hivyo kama dili likikaa sawa Samatta ambaye ni straika wa zamani wa Simba atakuwa mchezaji ghali zaidi raia wa Tanzania.

Chanzo chetu makini kutoka ndani ya Klabu ya Genk,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Matarajio ya umma na changamoto ya Baraza

HATIMAYE Baraza la Mawaziri limeundwa.

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

Michuzi

Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali Tanzania Profesa Mussa Assad (Kushoto) akihojiwa na Assumpta Massoi wa Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:RedioyaUM)Hivi karibuni Tanzania ambayo ni mjumbe wa bodi ya wakaguzi wa Umoja wa Mataifa imepata Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali naye ni Profesa Mussa Juma Assad. Uteuzi wake unafuatia kustaafu kwa mtangulizi wake Ludovick Uttouh. Mara baada ya uteuzi na kuapishwa, Profesa Assad alifika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini...

 

11 years ago

Habarileo

Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi Ngudu na matarajio ya kufaidi maji safi na salama

MAJI ni moja ya huduma za muhimu na za msingi kwa maisha ya binadamu. Mbali ya maji kutumika katika shughuli za kila siku za mwanadamu, mifugo na wanyamapori, pia ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani