Katumbi na matarajio ya TP Mazembe
Mmiliki na mwenyekiti wa timu ya soka ya TP Mazembe kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo Moise Katumbi amesema ana mpango wa kuiimairisha timu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71649000/jpg/_71649188_katumbi.jpg)
Katumbi reveals TP Mazembe ambitions
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74580000/jpg/_74580796_480199857.jpg)
Katumbi urges major investment in Africa
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta
Ibrahim Mussa na Hans Mloli
MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi kwani Bosi wa TP Mazembe, Moise Katumbi ameitangazia Koninklijke Racing Club Genk ya Ubelgiji dau la euro milioni 2.5.
Kwa thamani ya sasa ya fedha, euro milioni 2.5 ni sawa na Sh bilioni 5.7, hivyo kama dili likikaa sawa Samatta ambaye ni straika wa zamani wa Simba atakuwa mchezaji ghali zaidi raia wa Tanzania.
Chanzo chetu makini kutoka ndani ya Klabu ya Genk,...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
10 years ago
Michuzi10 Dec
Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad
![Mahojiano](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8PRpQ8ISns1boRDHwt5UZX9OcECp0I2Us0htOg3TG_NscmOt-MfNdNiGirr1VQ1pdgyMaG8dCiir5QOo42Iq3tzbJtxiUBzHqLSH0VOI5B0aCt_IlXfl8VD7D5PxuJwqj0oGnJzBOpZgTlcLm5A=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/12/mbili-300x165.jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali Tanzania Profesa Mussa Assad (Kushoto) akihojiwa na Assumpta Massoi wa Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:RedioyaUM)Hivi karibuni Tanzania ambayo ni mjumbe wa bodi ya wakaguzi wa Umoja wa Mataifa imepata Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali naye ni Profesa Mussa Juma Assad. Uteuzi wake unafuatia kustaafu kwa mtangulizi wake Ludovick Uttouh. Mara baada ya uteuzi na kuapishwa, Profesa Assad alifika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbqJ7PsvM80/XpQQtt_EzAI/AAAAAAALm1U/frsoz-AZWs8H1KKG_dI77hGYsXGhd4O_ACLcBGAsYHQ/s72-c/images.png)
11 years ago
Habarileo21 Mar
Tufanye kazi, Watanzania wana matarajio makubwa—Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameeleza kuwa Watanzania wana matarajio makubwa kutokana na kugunduliwa kwa hazina kubwa ya gesi katika maeneo ya kina kirefu cha bahari.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Wananchi Ngudu na matarajio ya kufaidi maji safi na salama
MAJI ni moja ya huduma za muhimu na za msingi kwa maisha ya binadamu. Mbali ya maji kutumika katika shughuli za kila siku za mwanadamu, mifugo na wanyamapori, pia ni...