Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta
Ibrahim Mussa na Hans Mloli
MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi kwani Bosi wa TP Mazembe, Moise Katumbi ameitangazia Koninklijke Racing Club Genk ya Ubelgiji dau la euro milioni 2.5.
Kwa thamani ya sasa ya fedha, euro milioni 2.5 ni sawa na Sh bilioni 5.7, hivyo kama dili likikaa sawa Samatta ambaye ni straika wa zamani wa Simba atakuwa mchezaji ghali zaidi raia wa Tanzania.
Chanzo chetu makini kutoka ndani ya Klabu ya Genk,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPROF.NDALICHAKO AWEKA JIWE LA MSINGI (TAEC) AWAMU YA PILI YA UJENZI WA MAHABARA 8 ZA KIUCHUNGUZI UTAKAOGAHARIMU SH.BIL 10.4
Mkurugenzi mkuu wa Tume ya nguvu za Atomiki Tanzania Prof.Lazaro Busagala, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako ameweka jiwe la msingi katika awamu ya pili katika Tume hiyo iliyopo Mkoani Arusha
Dr.Remigius Kawala Mkurugenzi wa ufundi na huduma za Taasisi akimpa maelezo kwa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako namna ya kuandaa sampuli na kuchakata matokeo ya viasili vya mionzi kwenye mazingira,akipotembelea maabara na kukagua maendeleo ya ujenzi
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Katumbi na matarajio ya TP Mazembe
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71649000/jpg/_71649188_katumbi.jpg)
Katumbi reveals TP Mazembe ambitions
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74580000/jpg/_74580796_480199857.jpg)
Katumbi urges major investment in Africa
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9nMo*2PoeNvM8ZMrvgOVQ*bsnVi2subCuT*CnadrrkQ*ry46A8P8HFbibwnjYZwC3WSMmnYhXl6QNoF2QZCvrCP/IMG20150113WA0015.jpg?width=650)
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Samatta: Ubingwa ni zawadi kwa mama
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10