Samatta: Ubingwa ni zawadi kwa mama
Mshambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samatta amesema medali yake ya ubingwa wa Ligi ya Mabingwa na ufungaji bora wa Afrika, ameitoa kwa baba na marehemu mama yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Samatta awa mfungaji bora, TP Mazembe yachukua ubingwa wa Afrika
![Mbwana](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mbwana-300x194.jpg)
Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua kombe la michuano ya mabingwa wa Afrika baada ya kuifunga mabao 2-0 USM Alger ya Algeria kwenye fainali zilizochezwa jana mjini Lubumbashi.
Samatta alifunga bao moja kwenye mechi hiyo na kufikisha mabao saba yaliyomfanya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.
Samatta aliyezaliwa Januari 7, 1992 anacheza kama mshambuliaji kwenye klabu hiyo yenye makazi yake mjini Lubumbashi.
Mchezaji huyo anajulikana kutokana na magoli saba...
11 years ago
Dewji Blog21 May
Profesa Ana Tibaijuka akabidhi rasmi zawadi yake ya Tsh.9,500,000 kwa Mama Shujaa wa Chakula
Mkurugenzi mtendaji wa DMB ambao ndio wamiliki wa Shindano la Maisha Plus Masoud Ally ‘Kipanya’ akiwa anaendelea kuendesha ratiba wakati wa Sherehe fupi za Waziri wa Nyumba Ardhi na maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kukabidhi zawadi kwa washindi wa Mama shujaa wa Chakula pamoja na washiriki wote wa Maisha Plus 2014.
Afisa Mradi wa UKIMWI kutoka OXFAM Ester Mhagama akifungua rasmi sherehe hiyo fupi ya utoaji wa zawadi pamoja na kumkaribisha Mgeni rasmi apate kuongea na Mama...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HzpJsHhe29o/U6mAT5HPZ8I/AAAAAAAFsqw/uMJSrbdp1AY/s72-c/D92A3548.jpg)
Mama Kikwete apewa Zawadi ya Kinyago
![](http://3.bp.blogspot.com/-HzpJsHhe29o/U6mAT5HPZ8I/AAAAAAAFsqw/uMJSrbdp1AY/s1600/D92A3548.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rz29ES_QRdE/U6mAVMVTOfI/AAAAAAAFsq4/ffxu-WkYR-Q/s1600/D92A3555.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYkWoLTW4g9iUtyWamf6XAnNJrLm7fz5oCJD38tIGpKHCmyxmguYmawYh5v17s6Jrc4ClqBFHkYXoJY4xbSMAyqwDazD7*Bi/DIAMOND4.jpg?width=650)
DIAMOND AMWANDALIA ZAWADI MAMA YAKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Mbqam9i8slY/Uv3Vp-h9DEI/AAAAAAACap8/4nx-nIcL5po/s72-c/mama-urassa-na-mwenye-shamba.jpg)
Mama Shujaa wa chakula mtandaoni akabidhiwa zawadi ya shamba
Neema Urassa Kivugo ambaye alishinda vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5 alichagua kununua shamba ili amiliki ardhi yake mwenyewe. Akiongea wakati wa makabidhiano hayo, Neema alisema, ''kupitia kilimo katika shamba langu mwenyewe, sasa nitaweza kumalizia ada ya wanangu na pia ujenzi wa nyumba yangu...
11 years ago
MichuziHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA