Balozi ashauri sekta binafsi Malawi, Tanzania kukutana
BALOZI wa Malawi nchini, Hawa Ndilowe ameiomba Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (PSPF) kukutana na wenzao wa Malawi ili waweze kujenga uhusiano ambao utasaidia wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kufanya biashara pamoja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Waziri ashauri marais wa Malawi, Tanzania
Waziri wa Habari, Utalii na Utamaduni nchini Malawi, Kondwani Nankhumwa, amewashauri marais wa Malawi na Tanzania kushika ndoana kwa pamoja na kuvua samaki katika Ziwa Nyasa, ili kuionyesha dunia kwamba hakuna ugomvi kati ya nchi zao.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
9 years ago
Vijimambo31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi
Ujumbe wa maafisa wanane kutoka Tanzania ulioko nchini Malawi kwa ziara ya kimafunzo umemtembelea Mhe. Victoria R. Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi, ofisini kwake mjini Lilongwe. Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
9 years ago
Vijimambo11 Oct
TANZANIA YAFUNGWA GOLI 1 NA MALAWI LAKINI YAPITA SASA KUKUTANA NA ALGERIA
![Mbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na Ulimwengu](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Stars-vs-Malawi-5.jpg)
Timu ya Tanzania Taifa Stars leo imefuzu kusonga mbele baada ya kufungwa goli 1-0 na Malawi goli lililopatikana katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo goli lililofungwa kifundi nje ya 18 na mchezaji machachali wa Malawi John Banda anayevaa jezi nambari 7.
Katika mchezo huo uliochezewa katika uwanja wa Kamuzu jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LgE5zAUbpHA/XrhLm0oXLoI/AAAAAAAEG-A/dedvN8dhBFQABEgQrufbniLwqtPka_fEQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c3c9519-a526-4283-b6de-9b97dd6b8755.jpg)
Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni
![](https://1.bp.blogspot.com/-LgE5zAUbpHA/XrhLm0oXLoI/AAAAAAAEG-A/dedvN8dhBFQABEgQrufbniLwqtPka_fEQCLcBGAsYHQ/s640/5c3c9519-a526-4283-b6de-9b97dd6b8755.jpg)
Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dsVyWYlG9R8/XoGicFkqWBI/AAAAAAAC2DE/sj5eipa5_nYUfRVWOAuQp2OhBVBK5oLUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAASISI YA SEKTA BINAFSI TANZANIA (TPSF) AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dsVyWYlG9R8/XoGicFkqWBI/AAAAAAAC2DE/sj5eipa5_nYUfRVWOAuQp2OhBVBK5oLUwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Oktoba 31, 2019, Salum Shamte pamoja na wenzake akiwemo Juma Shamte ambaye ndiye Mkurugenzi wa sasa wa Katani Limited na mjumbe wa bodi, Fatma Diwani walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania