Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi
Ujumbe wa maafisa wanane kutoka Tanzania ulioko nchini Malawi kwa ziara ya kimafunzo umemtembelea Mhe. Victoria R. Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi, ofisini kwake mjini Lilongwe. Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, nchini Malawi
Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q1eunWqqZEw/VgM8lyqpl_I/AAAAAAAH6_8/JsqFP8DJPr0/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Mhe PINDA AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI MAMA VICTORIA MWAKASEGE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q1eunWqqZEw/VgM8lyqpl_I/AAAAAAAH6_8/JsqFP8DJPr0/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WcJOLBgdEks/VgM8l6hyMvI/AAAAAAAH6_4/x1FjrMS9dyk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dsS1KSaAR2Y/VgM8l7d3QfI/AAAAAAAH7AA/IUI4mt6uNHY/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboUjumbe wa wanajeshi wamtembelea Balozi wa Tanzania nchini Malawi
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LEE9EKoPKDY/VhbQ6txD2QI/AAAAAAACAqI/NkhwkJXcgNU/s72-c/DSC_7874.jpg)
Balozi mpya wa Denmark nchini na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malawi wakutana na Dk Shein Ikulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-LEE9EKoPKDY/VhbQ6txD2QI/AAAAAAACAqI/NkhwkJXcgNU/s640/DSC_7874.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACTZLiTZy40/VhbQ8hx-lgI/AAAAAAACAqQ/N7aAN9vyw3Y/s640/DSC_7909.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s72-c/lake+nyasa+072.jpg)
Just in: Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga afariki dunia jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s1600/lake+nyasa+072.jpg)
“Ni kwa masikitiko makubwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (ya Malawi) unauarifu umma kufariki dunia kwa Balozi Flossy Gomile-Chidyaonga baada ya kuugua kwa muda mfupi jijini Dar es salaam mchana huu”, imesema taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara hiyo Quent Kalichero.
“Tangu mwaka 2006 Marehemu Bi Flossy...
10 years ago
VijimamboMHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA ZIMBABWE NCHINI MAREKANI UBALOZINI TANZANIA HOUSE
Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Marekani amemkaribisha Mhe. Ammon Mutembwa, Balozi mpya wa Jamhuri ya Zimbabwe Ubalozini Tanzania House, Washington DC, Marekani, Jumatano Novemba 26, 2014. Katika mazungumzo yake na Balozi Mutembwa, Mhe. Balozi Mulamula alimweleza Balozi huyo kwamba ajisikie kwamba yuko nyumbani. Mhe. Mulamula aliendelea kwa kusema kwamba Tanzania na Zimbabwe zina mahusiano ya kihistoria na kwa msingi huo ni vyema kutafsiri kwa vitendo...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Botswana nchini Tanzania Ikulu Dar, akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana,...