Just in: Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga afariki dunia jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s72-c/lake+nyasa+072.jpg)
Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga (pichani) amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mfupi.
“Ni kwa masikitiko makubwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (ya Malawi) unauarifu umma kufariki dunia kwa Balozi Flossy Gomile-Chidyaonga baada ya kuugua kwa muda mfupi jijini Dar es salaam mchana huu”, imesema taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara hiyo Quent Kalichero.
“Tangu mwaka 2006 Marehemu Bi Flossy...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MWILI WA BALOZI WA MALAWI NCHINI FLOSSIE CHIDYAONGA ULIVYOAGWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiZlvKTycGtE5tnxRvKCiSJOTcf8XgRU8dSOG0Z*Nt*ymnpA4MCBkOgCKXvFstjZ-o46esI-rq06tOd33OglvcZ/1FlossieGomileChidyaonga.jpg)
TANZIA: BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA AFARIKI DUNIA
11 years ago
Dewji Blog13 May
Dar yazizima kufuatia kifo cha Balozi Flossie Gomile Chidyaonga
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Muungano na Utawala Bora), Mh. Mwinyi Haji Makame, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili kuhudhuria misa maalum ya kumwombea aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini, Mh Flossie Gomile Chidyaonga kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Zanzibar (Muungano na Utawala Bora), Mh. Mwinyi Haji Makame akibadilishana mawazo na Balozi...
11 years ago
MichuziTAARIFA YA KIFO CHA BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA,HAYATI FLOSSIE GOMILE
Balozi Flossie Chidyaonga alizaliwa tarehe 16 Juni, 1960 huko Blantyre nchini Malawi. Balozi Chidyaonga aliitumikia Serikali ya Malawi katika nyadhifa mbalimbali. Kati ya mwaka 2006 hadi 2010 alikuwa Naibu Balozi wa Malawi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5Mf4qK74L8TENur09gXmW9hAG1rUSr62KdNhpD1bGl3l7XUpDy6ZVBXVfz5pbYRa-rBfnogYUT*Ul6t2X17KpiH/Ardhi1.jpg?width=650)
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
BBCSwahili11 May
Balozi wa Malawi afariki dunia Tanzania
11 years ago
Michuzi12 May
9 years ago
Vijimambo31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bk87_00qIvE/Vd--4PTw3UI/AAAAAAAD4zs/SrOV2DAyWz8/s72-c/k1.jpg)
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bk87_00qIvE/Vd--4PTw3UI/AAAAAAAD4zs/SrOV2DAyWz8/s640/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5yqHMsnJbjg/Vd--4-cwD2I/AAAAAAAD4zw/EOJyhUiPCkk/s640/k2.jpg)