ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAASISI YA SEKTA BINAFSI TANZANIA (TPSF) AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dsVyWYlG9R8/XoGicFkqWBI/AAAAAAAC2DE/sj5eipa5_nYUfRVWOAuQp2OhBVBK5oLUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na Mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited Salum Shamte amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa akipatiwa matibabu. Mkewe Mariam Shamte amethibitisha.
Oktoba 31, 2019, Salum Shamte pamoja na wenzake akiwemo Juma Shamte ambaye ndiye Mkurugenzi wa sasa wa Katani Limited na mjumbe wa bodi, Fatma Diwani walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Tanga wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gEucMqUfljA/XneLi2rTtDI/AAAAAAALku4/homRKs0S4lUIW29vkTC-zg3E0oGfnsofQCLcBGAsYHQ/s72-c/9c6e60b0-d397-4065-b733-ea2efc936198.jpg)
WAZIRI UMMY MWALIMU AKUTANA NA TAASISI YA SEKTA BINAFSI-TPSF
Na. WAMJW-DSM
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu leo amekutana na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na kujadili namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) nchini.
Katika kikao hicho, Waziri Ummy Mwalimu ameshukuru baraza hilo kwa kushirikiana na Sekta ya afya katika mapambano ya ugonjwa huo.
”Mchango wa sekta binafsi mkiwamo nyie wafanyabiashara ni muhimu kwani mtaleta manufaa makubwa katika mapambano haya,” amesema Waziri Ummy...
9 years ago
Michuzi15 Oct
ALIYEKUWA MWENYEKITI WA UKAWA NA NLD. EMMANUEL MAKAIDI AFARIKI DUNIA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/P1iterCve3P81J3Zef--nJSyYac9aXLRICojNDu6Sier_pa79P9lYmwMszGqtXVhqzHNaNFP_wookvMc8GrDDaTtdaZ_G4JgDE4kQs2UzhITfNbCn1JsItJBCJjOOtvpBvSfAboQjW1-w5Jfkf0zsN4GRtQ6wVo=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2731006/highRes/1021109/-/maxw/600/-/i9vq6k/-/Makaidi.jpg)
WASIFU WA MAREHEMU KWA UFUPI:Dk Emmanuel Makaidi alikuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NLD na ni mhandisi aliyebobea. Alizaliwa Aprili 10, 1941 huko wilayani Masasi mkoani Mtwara. Baba yake mzazi alikuwa ni katekista wa Kanisa la Anglikana.
Alianza elimu katika Shule ya Msingi Namalenga wilayani Masasi kati ya mwaka 1948 – 1952, mwaka 1953 – 1954 alisoma katika Shule ya Kati (Middle school)...
9 years ago
MichuziTAASISI YA SEKTA BINAFSI, BOT, BENKI YA DUNIA WAJADILI MFUMO WA MIRADI YA PPP.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s72-c/dr.%2Bmhita.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s1600/dr.%2Bmhita.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANZIA: ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu (mstaafu) Dkt. Mohamed Mhita kilichotokea siku ya Jumatatu tarehe 06 Aprili 2015 katika hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mhita alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Idara Kuu ya Hali ya Hewa kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 1992 hadi 1999 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kipindi cha miaka 9 kuanzia 1999...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c7ytde_gMlU/VmAR7TYfJNI/AAAAAAAIJ-M/IyDSNhceu_E/s72-c/jpm1.jpg)
RAIS MAGUFULI AHUTUBIA VIONGOZI NA WAWAKILISHI WA UMOJA WA SEKTA BINAFSI NCHINI - TPSF IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-c7ytde_gMlU/VmAR7TYfJNI/AAAAAAAIJ-M/IyDSNhceu_E/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4OQ-VZa56ts/VmAR7SNBtLI/AAAAAAAIJ-Q/e-liCp1dKFk/s640/jpm2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BDmokFMUvLk/VmAR7Bu9phI/AAAAAAAIJ-I/siElIoLMsUc/s640/jpm4.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Aliyekuwa mhariri msanifu wa Mwananchi afariki dunia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--8wi2b_PaJ8/XrRhQn_du7I/AAAAAAALpbw/dGv0TtMCFsAXvqppPv5qnGH0QSTLPkBGgCLcBGAsYHQ/s72-c/3cead651-beb9-4753-8a99-ff5bd720f3e5.jpg)
KATIBU MKUU DK.AKWILAPO AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI BARAZA LA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM(DIT)
Kabla ya kufikwa na umauti kumkuta Aprili 14, 2020 alipata kiharusi ambapo alilazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu Cha Kilimo (SUA), Morogoro.
Marehemu Profesa Pereka amezikwa leo Mei 7 mwaka 2020 katika kijijini cha Mwangika Kahunda, Sengerema -...
10 years ago
CloudsFM14 Mar
ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/4iGGfOEDaytTvsWqu-EI2X0d2SSAqVMkc89saVv56HPiDz03xp3gD8KVMqbyYSNnntF0yzq5JQZV2XO9B7YNjTRrwTp3maA-/MARSHHHHHH.jpg)