KATIBU MKUU DK.AKWILAPO AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI BARAZA LA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM(DIT)
![](https://1.bp.blogspot.com/--8wi2b_PaJ8/XrRhQn_du7I/AAAAAAALpbw/dGv0TtMCFsAXvqppPv5qnGH0QSTLPkBGgCLcBGAsYHQ/s72-c/3cead651-beb9-4753-8a99-ff5bd720f3e5.jpg)
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo ameongoza mazishi ya aliyekua Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Profesa Apollinaria Elikana Pereka aliyefariki Mei 3, 2020 mkoani Morogoro.
Kabla ya kufikwa na umauti kumkuta Aprili 14, 2020 alipata kiharusi ambapo alilazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu Cha Kilimo (SUA), Morogoro.
Marehemu Profesa Pereka amezikwa leo Mei 7 mwaka 2020 katika kijijini cha Mwangika Kahunda, Sengerema -...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vHKTwxLSiRQ/VmSc6stIlHI/AAAAAAAIKho/ohorXGvwGzE/s72-c/s.png)
MAHAFALI YA TISA YA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM (DIT)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vHKTwxLSiRQ/VmSc6stIlHI/AAAAAAAIKho/ohorXGvwGzE/s320/s.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cUqRr7dRWQg/VIKyyPneBZI/AAAAAAAG1kY/Ewimg0GJzBI/s72-c/banner.png)
Mahafali ya nane ya Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kufanyika Januari 31, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-cUqRr7dRWQg/VIKyyPneBZI/AAAAAAAG1kY/Ewimg0GJzBI/s1600/banner.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
DKT. BASHIRU ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MKUU CUF
![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Mwili wa Marehemu Khalifa ambaye enzi ya uhai wake aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Gando, umeswaliwa katika Msikiti wa Maamur uliopo Upanga jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu.
Viongozi mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s72-c/unnamedL.jpg)
AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA KYERWA LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s1600/unnamedL.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
MAMIA WAMUAGA ALIYEKUWA MHADHIRI MWANDAMIZI WA CHUO CHA UHASIBU DAR ES SALAAM(SASA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-3FvDjqPdnng/U9VIpXDi-NI/AAAAAAACzvw/xGx8-QGxyvs/s1600/image.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUHUSU TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XkCIgAhsVVc/VYP8MZZ-A3I/AAAAAAAHhas/rCmaYDJU0tc/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-eP79tCKRrsc/VGW_xygoSqI/AAAAAAADIL0/A0T9mX9sllM/s72-c/Pix-6.jpg)
KATIBU MKUU BARAZA LA VIJANA TAIFA CHADEMA AKABIDHI KADI KWA MWENYEKITI WA KIJIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eP79tCKRrsc/VGW_xygoSqI/AAAAAAADIL0/A0T9mX9sllM/s1600/Pix-6.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-1024x555.jpg)
RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s1600/1AA-4-1024x555.jpg)
9 years ago
StarTV03 Dec
Spika Ndungai aongoza mazishi ya Hellen Mbeba aliyekuwa mtumishi wa bunge
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Job Ndungai ameongoza waombolezaji katika mazishi ya aliyekuwa mtumishi wa Bunge Hellen Mbeba yaliyofanyika kwenye kijiji cha Kung’ombe wilayani Bunda mkoani Mara.
Spika Job Ndugai amesema kwamba bunge limepoteza mtumishi hodari ambae alikuwa ni mchapakazi, mpole, mnyenyekevu na mwenye kujituma kila alipokuwa anahitajika kufanya kazi ya kuwahudumia wananchi.
Mkuu wa Wilaya ya Bunda Joshua Mirumbe na mbunge wa jimbo la mwibara kangi...