DKT. BASHIRU ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MKUU CUF
![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Mwili wa Marehemu Khalifa ambaye enzi ya uhai wake aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Gando, umeswaliwa katika Msikiti wa Maamur uliopo Upanga jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu.
Viongozi mbalimbali...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KDtvbMBOSIE/XoDVt0GUWPI/AAAAAAAAnM8/QZke51_wZ4ITyDuLWEWLIsA8SC9WDf3XACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SUMAYE AKABIDHIWA KADI YA UANACHAMA NA KATIBU MKUU WA CCM DKT BASHIRU ALLY
![](https://1.bp.blogspot.com/-KDtvbMBOSIE/XoDVt0GUWPI/AAAAAAAAnM8/QZke51_wZ4ITyDuLWEWLIsA8SC9WDf3XACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aZ_Y7GLszEE/XoDVuOaGaBI/AAAAAAAAnNA/vS-ZAXW_RAcXQGQArxckv6fnJlF3C1npQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zz7beyf8FJw/XoDVt6NPYII/AAAAAAAAnM4/Z97Z5LL9otsQujHtQQPhIT6Fh0mdXWi-gCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--8wi2b_PaJ8/XrRhQn_du7I/AAAAAAALpbw/dGv0TtMCFsAXvqppPv5qnGH0QSTLPkBGgCLcBGAsYHQ/s72-c/3cead651-beb9-4753-8a99-ff5bd720f3e5.jpg)
KATIBU MKUU DK.AKWILAPO AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MWENYEKITI BARAZA LA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM(DIT)
Kabla ya kufikwa na umauti kumkuta Aprili 14, 2020 alipata kiharusi ambapo alilazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu Cha Kilimo (SUA), Morogoro.
Marehemu Profesa Pereka amezikwa leo Mei 7 mwaka 2020 katika kijijini cha Mwangika Kahunda, Sengerema -...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: ALIYEKUWA KATIBU MKUU TAIFA WA CHADEMA DKT MASHINJI AHAMIA CCM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN TUPA MKOANI MOROGORO
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/3pS2peYhMb8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s72-c/unnamedL.jpg)
AMIRI JESHI MKUU RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA KYERWA LUTENI KANALI BENEDICT KITENGA (MSTAAFU) LEO MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-bHCdW_79u5I/VTkHqqDB0VI/AAAAAAAHSzw/F5BJite4vFg/s1600/unnamedL.jpg)