MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Na: Khamis Haji (OMKR)
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF
![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JlF5HB_U_gY/U3_R-3wEE4I/AAAAAAAFksI/0YXGvznddmc/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-boB3ySG_qXs/U3_R_Oqet_I/AAAAAAAFksE/dguPD8w66Ow/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1dvjgONdeg/VQ7nPLRXu5I/AAAAAAAHMOA/jfx-qJ4EJTA/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL5gBZbwS8c/VQ7nRV5NkII/AAAAAAAHMOU/Ge0grmUQWyY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9i-w94Y6O4/VQ7nQnJsOxI/AAAAAAAHMOM/dVo6dNlFNzw/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JxKBvpPoKoU/Vi0v9jMNkoI/AAAAAAAICyM/uyXXK2M0Z4g/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
MAALIM SEIF APIGA KURA KITUO CHA GARAGARA MTONI KIDATU UNGUJA
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Maalim Seif: CUF jipange kwa uchaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuanzisha mitandao ya kupeana taarifa kuhamasishana na kusaidiana kutafuta vitambulisho vya kupigia...
9 years ago
MichuziMGOMBEA URAIS ZANZIBAR (CUF) MAALIM SEIF AOMBA KURA KWA WAKAZI WA BUBUBU
Akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Kwageji Bububu, Maalim Seif amesema atarekebisha mfumo wa ushuru katika bandari ili kuepusha wafanyabiashara kulipa ushuru mara mbili wanaposafirisha mizigo yao kuelekea bandari ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
DKT. BASHIRU ASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU MKUU CUF
![](https://1.bp.blogspot.com/-vMF01Wx5oeg/XoN_ghAVOPI/AAAAAAABm_0/aQ1P5S85UiwRGg-uuSjAhf4JmjA-NrcUgCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Mwili wa Marehemu Khalifa ambaye enzi ya uhai wake aliwahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Gando, umeswaliwa katika Msikiti wa Maamur uliopo Upanga jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi ya Kisutu.
Viongozi mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-woWzxuczgFE/VYZpM_qFV4I/AAAAAAAHiFM/I1I-tAOi0-Q/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MAALIM SEIF KATIKA ZIARA YA MASOKONI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-woWzxuczgFE/VYZpM_qFV4I/AAAAAAAHiFM/I1I-tAOi0-Q/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GdBTvOZtNHM/VYZpNaeGDmI/AAAAAAAHiE8/jrs8HAZBIeU/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8R0cyDquwoQ/VYZpOcQL4CI/AAAAAAAHiFc/5iv99FhmFVI/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)