Maalim Seif: CUF jipange kwa uchaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuanzisha mitandao ya kupeana taarifa kuhamasishana na kusaidiana kutafuta vitambulisho vya kupigia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
9 years ago
MichuziMGOMBEA URAIS ZANZIBAR (CUF) MAALIM SEIF AOMBA KURA KWA WAKAZI WA BUBUBU
Akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Kwageji Bububu, Maalim Seif amesema atarekebisha mfumo wa ushuru katika bandari ili kuepusha wafanyabiashara kulipa ushuru mara mbili wanaposafirisha mizigo yao kuelekea bandari ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1dvjgONdeg/VQ7nPLRXu5I/AAAAAAAHMOA/jfx-qJ4EJTA/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL5gBZbwS8c/VQ7nRV5NkII/AAAAAAAHMOU/Ge0grmUQWyY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9i-w94Y6O4/VQ7nQnJsOxI/AAAAAAAHMOM/dVo6dNlFNzw/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
11 years ago
Habarileo01 Jun
Maalim Seif aita washindani CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-50w6VNlN0RI/VQ2Ghg7dK7I/AAAAAAABpHE/BBptDMpl83M/s72-c/waz1.jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMUZA NA WAZEE CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-50w6VNlN0RI/VQ2Ghg7dK7I/AAAAAAABpHE/BBptDMpl83M/s640/waz1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sB44FjXadRI/VQ2GjXJ4YEI/AAAAAAABpHM/0A6fUMj5o4I/s640/waz2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NiL_zMF3Jz4/VQ2GgpBEu0I/AAAAAAABpG8/adW25XUd6Vs/s640/waz3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IVXpZ5-gnh4/VQ2Gmg7DyoI/AAAAAAABpHU/gcSU7CCVAJs/s640/waz4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAZEE WA CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xcA898AMLps/VQ1gyhY_sII/AAAAAAAHL8I/k3HnbrKYcBg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)