MAALIM SEIF APIGA KURA KITUO CHA GARAGARA MTONI KIDATU UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JxKBvpPoKoU/Vi0v9jMNkoI/AAAAAAAICyM/uyXXK2M0Z4g/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Na Hassan Hamad, OMKR. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amepiga kura katika kituo cha Garagara Shehia ya Mtoni Kidatu jimbo la Mtopepo. Maalim Seif ambaye pia ni Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Wananchi CUF, amepiga kura katika kituo hicho mnamo majira ya saa nne asubuhi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupiga kura, Maalim Seif amesema ameridhishwa na jinsi wananchi walivyojitokeza kupiga kura, sambamba na utulivu uliokuwepo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Xfc9ZZ58et0/Vix5I9CWwlI/AAAAAAAICnY/d_1MiRQQqAA/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
DK.SHEIN APIGA KURA KITUO CHA BUNGI WILAYA YA KATI, UNGUJA, LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xfc9ZZ58et0/Vix5I9CWwlI/AAAAAAAICnY/d_1MiRQQqAA/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eJN-LtMacT0/Vix5IwmYLBI/AAAAAAAICnc/wWQMpGbyvJs/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s72-c/d1.jpg)
Balozi seif ali iddi afunguwa Kituo cha Afya Cha Pwani Mchangani Wilaya ya Kaskazini “A”, Unguja
![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8chuUQK6js/Uyh0dElrfOI/AAAAAAAFUo4/ZXzJP3EG1o4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wM2mDHdy_n0/Uyh0dToaYXI/AAAAAAAFUo0/egYnVbBVfxg/s1600/d6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
9 years ago
VijimamboMGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI KATIKA VIWANJA CHA GARAGARA MTONI ZANZIBAR,
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pup7jKU56AY/VYrehAb_SXI/AAAAAAAHjk0/RxK4Vgs7nxg/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
MAALIM SEIF AHITIMISHA ZIARA YAKE UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pup7jKU56AY/VYrehAb_SXI/AAAAAAAHjk0/RxK4Vgs7nxg/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHRXHbDybTE/VYrehI8v3OI/AAAAAAAHjk4/2noPLlRB1-Q/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M1cS3DSkqsA/VYrehEPG9vI/AAAAAAAHjk8/FFM2ixqbHxA/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-woWzxuczgFE/VYZpM_qFV4I/AAAAAAAHiFM/I1I-tAOi0-Q/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MAALIM SEIF KATIKA ZIARA YA MASOKONI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-woWzxuczgFE/VYZpM_qFV4I/AAAAAAAHiFM/I1I-tAOi0-Q/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GdBTvOZtNHM/VYZpNaeGDmI/AAAAAAAHiE8/jrs8HAZBIeU/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8R0cyDquwoQ/VYZpOcQL4CI/AAAAAAAHiFc/5iv99FhmFVI/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MAALIM SEIF AFANYA ZIARA WILAYA YA KASKAZINI B UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_0R1zI-q-c/VSr4596V8VI/AAAAAAAHQy4/CJbWgCg18zY/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Na Hassan Hamad, OMKR Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameweka mawe ya msingi na kupandisha bendera katika matawi na barza sita za CUF ndani ya Jimbo Kitope Wilaya ya Kaskazini "B"...
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI