maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Na Hassan Hamad, OMKR Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameweka mawe ya msingi na kupandisha bendera katika matawi na barza sita za CUF ndani ya Jimbo Kitope Wilaya ya Kaskazini "B" Unguja. Matawi na barza alizoweka mawe ya msingi ni pamoja na Kiombamvua, Mkaratini, Mgambo, Kilombero, Kipandoni na Kiwengwa Cairo. Hata hivyo, mkutano wa hadhara uliokuwa ufanyike katika viwanja vya Kipandoni umehairishwa, kwa madai kuwa haukupata kibali kutoka kwa jeshi la polisi. Katibu Mkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
MAALIM SEIF AFANYA ZIARA WILAYA YA KASKAZINI B UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_0R1zI-q-c/VSr4596V8VI/AAAAAAAHQy4/CJbWgCg18zY/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Na Hassan Hamad, OMKR Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameweka mawe ya msingi na kupandisha bendera katika matawi na barza sita za CUF ndani ya Jimbo Kitope Wilaya ya Kaskazini "B"...
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AWATEMBELEA WAGONJWA NA WAFIWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s72-c/d1.jpg)
Balozi seif ali iddi afunguwa Kituo cha Afya Cha Pwani Mchangani Wilaya ya Kaskazini “A”, Unguja
![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8chuUQK6js/Uyh0dElrfOI/AAAAAAAFUo4/ZXzJP3EG1o4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wM2mDHdy_n0/Uyh0dToaYXI/AAAAAAAFUo0/egYnVbBVfxg/s1600/d6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VybbdaYedb8/U8jYNmpv-bI/AAAAAAAF3TM/zpA8vS5meHo/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Mama Asha Suleimani Iddi katika Futari ya Jumuiya Madrasatul Hidayatul Islamia ya Kijiji cha kidoti Wilaya ya Kaskazini “ A” Mkoa wa Kaskazini Unguja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lvhzgf2LTbezYsTWF7ah2HNw70soIXzDq1QeesAq7F5WPz9PgQAPaFxrzLSzBSlf3eZeN-kBZXIy1Mj5-trujtC/unnamed1.jpg?width=650)
MAALIM SEIF ZIARANI UTURUKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_5NAPGfGi4/VaLxvCt8I1I/AAAAAAAHpPQ/N7yA3ryJE9k/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Maalim Seif Ziarani Italy
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ZIARANI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea haja ya kuwashajiisha wakulima kulima kwa wingi mazao yanayopendwa zaidi na wananchi, ili kupunguza mfumko wa bei hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akitembelea masoko ya Chake Chake na Wete Kisiwani Pemba kuangalia bei za bidhaa mbali mbali zikiwemo za matunda, Maalim Seif amesema licha na kuwepo bidhaa nyingi lakini bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi.
Amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s72-c/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
MAALIM SEIF ZIARANI NCHINI UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s1600/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
Ziara hiyo inafuatia mwaliko rasmi wa serikali ya Uturuki kupitia kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Istanbul, Maalim Seif alipokelewa na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Mhe. Mevlut Cavusoglu.
Mbali ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake ambaye ni Waziri Mkuu wa Uturuki, Makamu wa Kwanza wa Rais wa...