MAALIM SEIF ZIARANI UTURUKI
![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lvhzgf2LTbezYsTWF7ah2HNw70soIXzDq1QeesAq7F5WPz9PgQAPaFxrzLSzBSlf3eZeN-kBZXIy1Mj5-trujtC/unnamed1.jpg?width=650)
Baadhi ya viongozi wa jumuiya za watembezaji watalii nchini Uturuki, wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad (hayupo pichani) walipokutana naye kwa mazungumzo mjini Istanbul nchini Uturuki. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi wa jumuiya za watembezaji watalii nchini… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s72-c/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
MAALIM SEIF ZIARANI NCHINI UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s1600/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
Ziara hiyo inafuatia mwaliko rasmi wa serikali ya Uturuki kupitia kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Istanbul, Maalim Seif alipokelewa na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Mhe. Mevlut Cavusoglu.
Mbali ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake ambaye ni Waziri Mkuu wa Uturuki, Makamu wa Kwanza wa Rais wa...
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ZIARANI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea haja ya kuwashajiisha wakulima kulima kwa wingi mazao yanayopendwa zaidi na wananchi, ili kupunguza mfumko wa bei hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akitembelea masoko ya Chake Chake na Wete Kisiwani Pemba kuangalia bei za bidhaa mbali mbali zikiwemo za matunda, Maalim Seif amesema licha na kuwepo bidhaa nyingi lakini bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi.
Amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_5NAPGfGi4/VaLxvCt8I1I/AAAAAAAHpPQ/N7yA3ryJE9k/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Maalim Seif Ziarani Italy
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif Awasili Zanzibar Akitokea Ziarani Nchi Qatar.
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na ujumbe wa baraza la wafanyabiashara wa Uturuki
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UTURUKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILzCl1fsgiA/VJKHJGgZgkI/AAAAAAAG4DQ/yMVIen9SmN4/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUqOy4tySjg/VJKHJd6lifI/AAAAAAAG4DM/jdwEgGINH1Q/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WyKeEU9Uykg/VJKHKpNaqXI/AAAAAAAG4Dg/VC2EweCtDAQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Meli Jeshi la Uturuki ziarani
MELI nne za kijeshi za Uturuki ‘Barbaros Turkish Maritime Task Group’ (TMTG), zinatarajiwa kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ziara ya kijeshi ya siku nne ambayo itahusisha...
11 years ago
Michuzi30 May
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ziarani nchini