Maalim Seif Ziarani Italy
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_5NAPGfGi4/VaLxvCt8I1I/AAAAAAAHpPQ/N7yA3ryJE9k/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Na Hassan Hamad, Milan, Italy Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili Mjini Milan nchini Italy kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya kiserikali. Katika uwanja wa ndege wa Milan, Maalim Seif amepokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Italy Dkt. James Msekela. Akiwa nchini Italy, Maalim Seif ambaye anamuwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal kwenye maonyesho ya biashara ya kimataifa yanayofanyika Mjini Milan,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6gNLWALUrCg/VaScrp5NR0I/AAAAAAAHphc/jqxNmkF1bzE/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Ziara ya Maalim Seif nchini Italy
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ZIARANI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea haja ya kuwashajiisha wakulima kulima kwa wingi mazao yanayopendwa zaidi na wananchi, ili kupunguza mfumko wa bei hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akitembelea masoko ya Chake Chake na Wete Kisiwani Pemba kuangalia bei za bidhaa mbali mbali zikiwemo za matunda, Maalim Seif amesema licha na kuwepo bidhaa nyingi lakini bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi.
Amesema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lvhzgf2LTbezYsTWF7ah2HNw70soIXzDq1QeesAq7F5WPz9PgQAPaFxrzLSzBSlf3eZeN-kBZXIy1Mj5-trujtC/unnamed1.jpg?width=650)
MAALIM SEIF ZIARANI UTURUKI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-CIM8GytcDOw/VaeuZUhEphI/AAAAAAAB1pk/2Bb43KwoWtY/s72-c/1.bmp)
Maalim Seif awasili nchini akitokea Italy
![](http://3.bp.blogspot.com/-CIM8GytcDOw/VaeuZUhEphI/AAAAAAAB1pk/2Bb43KwoWtY/s640/1.bmp)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0e3-DncLFMI/VaeuZgbM7FI/AAAAAAAB1ps/bBPuWvEMR9k/s640/4.bmp)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OBv_eLFjLeM/VaeucWg4vdI/AAAAAAAB1p8/sntbA6TClzw/s640/5.bmp)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPczxIdJmc8/VaeuZlxjQBI/AAAAAAAB1po/85De3HvijOg/s640/2.bmp)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s72-c/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
MAALIM SEIF ZIARANI NCHINI UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s1600/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
Ziara hiyo inafuatia mwaliko rasmi wa serikali ya Uturuki kupitia kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Istanbul, Maalim Seif alipokelewa na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Mhe. Mevlut Cavusoglu.
Mbali ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake ambaye ni Waziri Mkuu wa Uturuki, Makamu wa Kwanza wa Rais wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
maalim seif ziarani Wilaya ya Kaskazini B unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-NJlxfAG2pPs/VSr46NOtyoI/AAAAAAAHQy8/NkFagwdTIso/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif Awasili Zanzibar Akitokea Ziarani Nchi Qatar.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania09 Sep
‘Maalim Seif ni Popo’
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.
Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...