Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Seif amponda Maalim Seif

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Seif Idd ametangaza vita kwa mtu yeyote anayepanga njama za kuvuruga mchakato wa Rasimu ya Pili ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF ATETA NA PAC BALOZI

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi wa fedha za Serikali ya Baraza la Wawakilishi (PAC), Ofisini kwake Migombani. Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi wa fedha za Serikali ya Baraza la Wawakilishi (PAC), Mhe. Omar Ali Shehe, akizungumza wakati kamati yake ilipokutana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, Ofisini kwake Migombani. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana

MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Balozi Seif: Tumegundua ‘janja’ ya Maalim

Balozi Seif Ali Iddi, akihutubia mkutano wa kampeni Bungi, wilaya kati, Unguja. Monday, September 21, 2015 Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi amesema CCM imegundua kuwa upotoshaji anaoufanya Katibu Mkuu wa […]

The post Balozi Seif: Tumegundua ‘janja’ ya Maalim appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MAALIM SEIF AZUGUMZA NA BALOZI WA EU NA VIONGOZI WA UKAWA

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa pamoja na viongozi wa UKAWA baada ya kikao cha mashauriano kilichofanyika Mikocheni jijini Dar es Salaam. Na Hassan Hamad, OMKRKatibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea kauli yake ya kutotambua kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika tarehe 25 mwezi uliopita.Akizungumza na waandishi wa habari

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif akutana na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania bibi Malika Berak, alipofika ofisini kwake Migombani kwa mazungumzo. Kulia ni ofisa wa ubalozi Philippe Boncour. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati akizungumza na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania bibi Malika Berak, ofisini kwake Migombani.

 

11 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AKUTANA NA BALOZI WA OMAN NCHINI TANZANIA LEO

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na balozi wa Oman nchini Tanzania, Sheikh Soud Ali Mohammed (katikati), ofisini kwake Migombani. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na balozi wa Oman nchini Tanzania, Sheikh Soud Ali Mohammed, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwake Migombani. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiongozana...

 

11 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF AKUTANA NA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI URUSI

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi balozi Wynjones Kisamba, Ofisini kwake Migombani. (Picha na Salmin Said, OMKR).
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi balozi Wynjones Kisamba, Ofisini kwake Migombani.

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif azunhgumza na Balozi wa Tanzania Nchi Zimbabwe Afisi Kwake.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe huku ofisni kwake Migombani mjini Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe huku ofisni kwake Migombani mjini Zanzibar.(Picha na Salmin Said OMKR)

Na Khamis Haji OMKR.
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema wananchi wa Tanzania na Zimbabwe wanayo nafasi...

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim na Balozi Seif washiriki mazishi ya mkwe wa Waziri Mkuu , Mizengo Pinda

Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akimsikiliza kwa makini Waziri wa Mkuu Mizengo Pinda wakati wa mazishi ya mkwewe yaliyofanyika Dar.Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akijumuika na viongozi wengine kwenye mazishi ya mkwe wa Waziri Mkuu, Mizengo PindaMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, wakijumuika pamoja na viongozi wengine wa Serikali na viongozi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani