MAALIM SEIF AZUGUMZA NA BALOZI WA EU NA VIONGOZI WA UKAWA
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa pamoja na viongozi wa UKAWA baada ya kikao cha mashauriano kilichofanyika Mikocheni jijini Dar es Salaam. Na Hassan Hamad, OMKRKatibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea kauli yake ya kutotambua kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika tarehe 25 mwezi uliopita.Akizungumza na waandishi wa habari
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Maalim Seif: Ukawa ngangari
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad-300x200.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
Na Silvan Kiwale, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uko palepale licha ya kujiuzulu uenyekiti kwa Profesa Ibrahim Lipumba.
Kauli hiyo aliitoa jana jioni alipokuwa akizungumza na mamia ya wanachama na wapenzi wa chama hicho waliofurika katika Ofisi za makao maku ya CUF Buguruni jijini Dar es Salaam.
Alisema pamoja katika siasa kuna...
11 years ago
Habarileo25 Apr
'Maalim Seif warejeshe UKAWA bungeni'
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Seif Sharrif Hamad ametajwa tena bungeni akitakiwa kuwaambia kundi la wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni, warudi.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Balozi Seif: Tumegundua ‘janja’ ya Maalim
Balozi Seif Ali Iddi, akihutubia mkutano wa kampeni Bungi, wilaya kati, Unguja. Monday, September 21, 2015 Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi amesema CCM imegundua kuwa upotoshaji anaoufanya Katibu Mkuu wa […]
The post Balozi Seif: Tumegundua ‘janja’ ya Maalim appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ATETA NA PAC BALOZI
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Maalim Seif: Wanaotaka kuua Ukawa mtakwama
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Ukawa wataka Maalim Seif awe makamu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1878370/lowRes/525584/-/11qgs5mz/-/seif+px.jpg)
Hata hivyo, pendekezo hilo limekataliwa na chama anachotoka Maalim Seif, yaani Chama cha Wananchi (CUF), kwa maelezo kwamba muda wa kujadili mambo hayo haujafika bado.
Gazeti hili linafahamu pia kwamba pendekezo hilo la Chadema liliwasilishwa kwanza na Mwenyekiti wa Chadema,...
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania