Maalim Seif: Wanaotaka kuua Ukawa mtakwama
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad amesema juhudi zinazofanywa kuusambaratisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hazitafanikiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Maalim Seif: Ukawa ngangari
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad-300x200.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
Na Silvan Kiwale, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uko palepale licha ya kujiuzulu uenyekiti kwa Profesa Ibrahim Lipumba.
Kauli hiyo aliitoa jana jioni alipokuwa akizungumza na mamia ya wanachama na wapenzi wa chama hicho waliofurika katika Ofisi za makao maku ya CUF Buguruni jijini Dar es Salaam.
Alisema pamoja katika siasa kuna...
11 years ago
Habarileo25 Apr
'Maalim Seif warejeshe UKAWA bungeni'
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Seif Sharrif Hamad ametajwa tena bungeni akitakiwa kuwaambia kundi la wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni, warudi.
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Ukawa wataka Maalim Seif awe makamu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1878370/lowRes/525584/-/11qgs5mz/-/seif+px.jpg)
Hata hivyo, pendekezo hilo limekataliwa na chama anachotoka Maalim Seif, yaani Chama cha Wananchi (CUF), kwa maelezo kwamba muda wa kujadili mambo hayo haujafika bado.
Gazeti hili linafahamu pia kwamba pendekezo hilo la Chadema liliwasilishwa kwanza na Mwenyekiti wa Chadema,...
9 years ago
CHADEMA BlogMAALIM SEIF AZUGUMZA NA BALOZI WA EU NA VIONGOZI WA UKAWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-rm7KB0gCXRk/Vkko-ic047I/AAAAAAAAXH8/UxKUlUM3NL8/s72-c/Edward-Loawassa-Akihutubia-Press-Conference-Baada-ya-Kupokelewa-Rasmi-CHADEMA.jpg)
KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI: POKEENI FEDHA ZA WANAOTAKA KUNUNUA UONGOZI NDANI YA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kauli hiyo ameitoa Julai 26 mwaka huu wilayani Kahama mkoani Shinyanga katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo akiwa ni mlezi wa CCM mkoani...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Maalim Seif amtega JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanaweza kurudi bungeni iwapo Rais Jakaya Kikwete atawahakikishia kuwa...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Maalim Seif: Sawasawa
Na Waandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimezindua kampeni za Urais Zanzibar kwa kishindo huku mgombea wake, Maalimu Seif Sharif Hamad, akiahidi ajira kwa Wanzibari wote ndani ya miaka mitano na kubadilisha uchumi wa nchi hiyo kuwa imara kama ule wa Singapore.
Akizungumza na maelfu ya wananchi wa visiwa hivyo waliojitokeza jana kwenye uwanja wa Kibanda Maiti Unguja, Maalim Seif alisema endapo atapatiwa ridhaa ya kuongeza nchi, atapigania pia mamlaka kamili ya Zanzibar ikiwa ni...