KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-rm7KB0gCXRk/Vkko-ic047I/AAAAAAAAXH8/UxKUlUM3NL8/s72-c/Edward-Loawassa-Akihutubia-Press-Conference-Baada-ya-Kupokelewa-Rasmi-CHADEMA.jpg)
Ndugu Watanzania wenzangu Kama nilivyo waambia Viongozi Wakuu wa UKAWA walikaa juzi kutafakari hali ya kisiasa nchini na hususan Zanzibar na matukio yaliyoandamana na Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktober mwaka huu. Wakuu wa UKAWA kwa kauli moja walikariri tamko lao la kumuunga mkono kwa dhati, Mh. Maalim Seif Sharif Hamad kwa ushindi wake dhahiri na kuitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2bjJJhuJIm0/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]
The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 May
ZEC yamjibu Maalim Seif uchaguzi Zanzibar
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ADHAMINIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR UCHAGUZI MKUU UJAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qHQoYNpYxNM/VUc-m0rjV9I/AAAAAAAA8R0/CTJB9Z0nJZM/s640/ud2.jpg)
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
9 years ago
Michuzi21 Oct
SMZ YAIPONGEZA UN KWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KIMAENDELEO VISIWANI ZANZIBAR
![IMG_9022](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/IMG_9022.jpg)
Na Mwandishi wetu, ZanzibarSERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...
10 years ago
Mwananchi29 May
Maalim Seif: Ushindi wangu hautachezewa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10