KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA
Vijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TIYAlydse6I/Xuy0mDPlJ0I/AAAAAAALumg/z1sap-rSAj43qdzDOm_LMXs8PdwqI3VuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B3.26.59%2BPM.jpeg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUUNGA MKONO BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIJANA
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Mwanza alipotembelea Kiwanda cha Vijana cha Soma bags cha mabegi ya wanafunzi ambacho kimepewa mkopo wa Tsh 30,000,000 kupitia Mfuko wa maendeleo ya Vijana-YDF.
"Mkopo mlioupata mmeutumia vyema na kuongeza uzalishaji kwa kiwango kikubwa,ninyi mnatuma...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-rm7KB0gCXRk/Vkko-ic047I/AAAAAAAAXH8/UxKUlUM3NL8/s72-c/Edward-Loawassa-Akihutubia-Press-Conference-Baada-ya-Kupokelewa-Rasmi-CHADEMA.jpg)
KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ixj5GFe3UUM/Xps_bP-8JTI/AAAAAAALnWg/f7_IWOXHeLgO2pQ_3Uf9ylVABirQhhdLgCLcBGAsYHQ/s72-c/aa3534be-0458-4783-8526-990eccf42bac.jpg)
VIJANA WA KUNDI LA VAS WANAVYOUNGA MKONO SERIKALI NA MAPAMBANO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ixj5GFe3UUM/Xps_bP-8JTI/AAAAAAALnWg/f7_IWOXHeLgO2pQ_3Uf9ylVABirQhhdLgCLcBGAsYHQ/s640/aa3534be-0458-4783-8526-990eccf42bac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZcrbPtXQ-v8/XppEN8WAsUI/AAAAAAAAbhM/n_SjDnUjJDMf-dzUBG9yclxSS4VzucguQCLcBGAsYHQ/s640/6c1251f0-a17a-4018-98b7-4a9eb052ce87.jpg)
Vijana wa Kikundi cha 'Visual Aided Stories, VAS' wakichora baadhi ya picha kubwa za rangi mitaani kuunga mkono juhudi za Serikali kuhamasisha jamii kuhusu kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona-COVID-19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-PNrLSK3f8SI/XppEJl8gi4I/AAAAAAAAbhE/S5PySBL_y8ocCW4Nzv2HyjSZ7KJsvf18QCLcBGAsYHQ/s640/be7e578e-fbdd-4d57-8314-143300318f85.jpg)
Moja ya bango lililochorwa na Vijana wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s72-c/Jussa.jpg)
Kwanini naunga mkono kwa Mh Edward Lowassa kukaribishwa UKAWA : Ismail Jussa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s320/Jussa.jpg)
Baada ya kusoma maoni na mitazamo ya watu mbali mbali, nataka na miye nieleze mtazamo wangu kuhusiana na masuala hayo lakini zaidi nikirudi nyuma katika miaka ya 1991 na...
10 years ago
Habarileo31 Jan
Waombwa kuunga mkono katiba pendekezi
WAZIRI wa Uwezeshaji, Wanawake, Vijana, Watoto, Zainab Omar Mohamed amewataka akinamama nchini kuiunga mkono katiba inayopendekezwa ambayo ndiyo muarobaini wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia na ubakaji.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Marekani kuunga mkono demokrasia Myanmar
10 years ago
Vijimambo26 Oct
ASANTENI SANA KWA KUUNGA MKONO SHINA
![](http://www.shinainc.org/images/PRESIDENT.jpg)
Asante for last night. Your presence meant a lot to us.. Special needs children un Tanzania are better off today because of your you. Hope you enjoyed yourself. Stay blessed. J.mushala
11 years ago
Habarileo24 Feb
Tanzania kuunga mkono jitihada za Misri kurejea AU
RAIS Jakaya Kikwete ameihakikishia Misri kuwa Tanzania itaunga mkono jitihada za nchi hiyo kurejeshewa uanachama wake katika Umoja wa Afrika (AU), baada ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia nchini humo Aprili mwaka huu.