NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUUNGA MKONO BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TIYAlydse6I/Xuy0mDPlJ0I/AAAAAAALumg/z1sap-rSAj43qdzDOm_LMXs8PdwqI3VuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B3.26.59%2BPM.jpeg)
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana Na Ajira Mh Anthony Mavunde ametoa rai kwa Watanzania kuunga mkono bidhaa zinazozalishwa na Vijana wa Tanzania kwa kuwa soko la bidhaa zao.
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Mwanza alipotembelea Kiwanda cha Vijana cha Soma bags cha mabegi ya wanafunzi ambacho kimepewa mkopo wa Tsh 30,000,000 kupitia Mfuko wa maendeleo ya Vijana-YDF.
"Mkopo mlioupata mmeutumia vyema na kuongeza uzalishaji kwa kiwango kikubwa,ninyi mnatuma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWATAKA WATANZANIA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA JESHI HILO
Watanzania wametakiwa kuthamini na kutumia bidhaa zinazozalishwa na Jeshi la Magereza hapa nchini zikiwemo Samani za ndani na Ofisi.
Mwito huo umetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja wakati akiongea na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kutanganzwa rasmi Jeshi la Magereza kuwa Mshindi wa kwanza kwa upande wa utengenezaji wa bidhaa za Samani za ndani katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika uwanja wa Mwalimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-drBixFBv-yY/XuDWDZ1zs0I/AAAAAAALtWs/g-PjiIHtLeoFLBypR8xRThQYPT58iku-ACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WAAJIRI WOTE WASIOWASILISHA MICHANGO YA MAFAO YA WAFANYAKAZI KUJISALIMISHA WENYEWE NSSF
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo jana wakati wa kikao baina ya Menejimenti ya NSSF,Kampuni ya Knight Support na Wafanyakazi wa Knight Support juu ya mustakabali wa malimbikizo ya wasilisho la michango ya wafanyakazi pamoja na tozo ya adhabu inayofikia takribani...
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde afanya ziara makao makuu ya Tigo
![](http://3.bp.blogspot.com/-BGLdZMO6-UY/VoP-IQm7D_I/AAAAAAAAXus/tSrNKOpqg3c/s640/20151230_102742.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vmcsTFxHroc/VoP-UMKVu9I/AAAAAAAAXu0/XCS1FZHlM6U/s640/20151230_105239.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3OtBFI6WcN0/VoP-uBvKfsI/AAAAAAAAXvE/krfSPpi9NFc/s640/20151230_110943.jpg)
10 years ago
MichuziWATANZANIA WAASWA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NDANI YA NCHI
NA FRANK KIBIKI, IRINGA
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limewataka watanzania kujenga utamaduni wa kupenda bidhaa zinazotengenezwa ndani, badala ya zile zinazoingizwa kutoka nje ili kukuza uchumi wan chi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema ikiwa watanzania wataenzi bidhaa zinazotengenezwa ndani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
10 years ago
MichuziNaibu waziri wa maliasili na utalii awataka vijana kujituma kufanya kazi
BOFYA HAPA KWA HABARI...
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Bendera awataka wanahabari kuunga mkono jitihada za TMA
NA WILLIAM SHECHAMBO
MKUU wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amewataka wanahabari nchini kutumia nafasi waliyonayo kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa manufaa ya taifa.
Amesema jitihada hizo, ambazo ni utoaji wa taarifa za mabadiliko ya hali ya hewa kwa wakati na uhakika, haziwezi kuwafikia walengwa bila kuwepo vyombo vya habari ambavyo huunganisha jamii, serikali na taasisi binafsi.
Bendera alitoa rai hiyo jana mkoani Morogoro, wakati akifungua...
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI
![si11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/7EOgov5lzekHFEcAKJnl1odDl8CKpm4pg1iDxobNoYWsX_CEBKOW3A8NiCqsrF9DEYc70IC2egDiCCvqxnQ_Yo0SeQ4xu6MONnBmpcbHpm9QYQdEJbHmIg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si11.jpg)
![si12](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YUciI7KcFZwaM3AdoUadgO2SS6LWXWPEHmhCPxqTGZE8cTT3iSD6s3KrwyvIJ7SSYgLjqi8WAumqGKrXPpKsmY44m2c-y5WE_diSoWzB2c4w1C8Dr6Si6w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si12.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Majaliwa ampokea Waziri Jenista na Naibu Mawaziri Mavunde na Possi
![IMGS5299](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMGS5299.jpg)