NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WAAJIRI WOTE WASIOWASILISHA MICHANGO YA MAFAO YA WAFANYAKAZI KUJISALIMISHA WENYEWE NSSF
![](https://1.bp.blogspot.com/-drBixFBv-yY/XuDWDZ1zs0I/AAAAAAALtWs/g-PjiIHtLeoFLBypR8xRThQYPT58iku-ACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde amewataka waajiri wote nchini ambao hawawasilishi michango ya wafanyakazi kujisalimisha mapema wenyewe NSSF kabla ya kuchukulia hatua za kisheria.
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo jana wakati wa kikao baina ya Menejimenti ya NSSF,Kampuni ya Knight Support na Wafanyakazi wa Knight Support juu ya mustakabali wa malimbikizo ya wasilisho la michango ya wafanyakazi pamoja na tozo ya adhabu inayofikia takribani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/23N41D9ngA0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OSHA, ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aaziFeeLz-o/XmYIwIBht5I/AAAAAAALiKY/_dVfERW1yCwFkTVhdLqLfbBhNWOPZLk4QCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Hayo yamesemwa Jijini Arusha wakati wa ukifunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TIYAlydse6I/Xuy0mDPlJ0I/AAAAAAALumg/z1sap-rSAj43qdzDOm_LMXs8PdwqI3VuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B3.26.59%2BPM.jpeg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUUNGA MKONO BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIJANA
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Mwanza alipotembelea Kiwanda cha Vijana cha Soma bags cha mabegi ya wanafunzi ambacho kimepewa mkopo wa Tsh 30,000,000 kupitia Mfuko wa maendeleo ya Vijana-YDF.
"Mkopo mlioupata mmeutumia vyema na kuongeza uzalishaji kwa kiwango kikubwa,ninyi mnatuma...
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI
![si11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/7EOgov5lzekHFEcAKJnl1odDl8CKpm4pg1iDxobNoYWsX_CEBKOW3A8NiCqsrF9DEYc70IC2egDiCCvqxnQ_Yo0SeQ4xu6MONnBmpcbHpm9QYQdEJbHmIg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si11.jpg)
![si12](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YUciI7KcFZwaM3AdoUadgO2SS6LWXWPEHmhCPxqTGZE8cTT3iSD6s3KrwyvIJ7SSYgLjqi8WAumqGKrXPpKsmY44m2c-y5WE_diSoWzB2c4w1C8Dr6Si6w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si12.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Majaliwa ampokea Waziri Jenista na Naibu Mawaziri Mavunde na Possi
![IMGS5299](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMGS5299.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde afanya ziara makao makuu ya Tigo
![](http://3.bp.blogspot.com/-BGLdZMO6-UY/VoP-IQm7D_I/AAAAAAAAXus/tSrNKOpqg3c/s640/20151230_102742.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vmcsTFxHroc/VoP-UMKVu9I/AAAAAAAAXu0/XCS1FZHlM6U/s640/20151230_105239.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3OtBFI6WcN0/VoP-uBvKfsI/AAAAAAAAXvE/krfSPpi9NFc/s640/20151230_110943.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Aug
‘Wabaneni waajiri wanaochelewesha michango’
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeikumbusha mifuko hiyo kuhakikisha inawabana waajiri wanaochelewesha michango ya wanachama wao kwa kuwa sheria inaruhusu.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
10 years ago
MichuziNaibu waziri wa maliasili na utalii awataka vijana kujituma kufanya kazi
BOFYA HAPA KWA HABARI...