‘Wabaneni waajiri wanaochelewesha michango’
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imeikumbusha mifuko hiyo kuhakikisha inawabana waajiri wanaochelewesha michango ya wanachama wao kwa kuwa sheria inaruhusu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/23N41D9ngA0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-drBixFBv-yY/XuDWDZ1zs0I/AAAAAAALtWs/g-PjiIHtLeoFLBypR8xRThQYPT58iku-ACLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WAAJIRI WOTE WASIOWASILISHA MICHANGO YA MAFAO YA WAFANYAKAZI KUJISALIMISHA WENYEWE NSSF
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo jana wakati wa kikao baina ya Menejimenti ya NSSF,Kampuni ya Knight Support na Wafanyakazi wa Knight Support juu ya mustakabali wa malimbikizo ya wasilisho la michango ya wafanyakazi pamoja na tozo ya adhabu inayofikia takribani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m8gNWgPQ4RA/XlFyM3U6YDI/AAAAAAALe2A/aQ24S8eLQO0RhpyZps6vh82mTrBpUbpEgCLcBGAsYHQ/s72-c/72fc6d97-df5c-49c9-82a2-23a4d63d7b98.jpg)
CHAMA CHA MAPINDUZI CHAWAONYA WATUMISHI WA UMMA WAZEMBE NA WANAOCHELEWESHA MAENDELEO YA WATU – PEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-m8gNWgPQ4RA/XlFyM3U6YDI/AAAAAAALe2A/aQ24S8eLQO0RhpyZps6vh82mTrBpUbpEgCLcBGAsYHQ/s640/72fc6d97-df5c-49c9-82a2-23a4d63d7b98.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4669822c-4f50-47ac-b7e8-9a97c6bc4f1a.jpg)
Akizungumza katika kikao cha ndani cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba Zanzibar, Ndugu Humphrey Polepole Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi amesema Chama Cha Mapinduzi kinawaonya Watumishi wa Umma wazembe, wanaochelewesha maendeleo ya Watu Pemba Zanzibar.
Akifafanua suala hilo Ndugu Polepole amesema pamoja na kazi nzuri inayofanywa na Dk. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ya Zanzibar bado wapo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Waajiri wafundwa
WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Mwigulu awavaa waajiri
Aagiza wakamatwe na kushitakiwa haraka
NA MOHAMMED ISSA NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeagiza kushitakiwa kwa waajiri wote nchini, ambao hawawasilishi michango ya wafanyakazi wao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Pia imewaonya waajiri kuacha mara moja tabia ya kutopeleka ama kuchelewesha michango ya wafanyakazi kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Mbali na hilo, imesema inaridhishwa na utendaji unaofanywa na uongozi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, kwa kuongeza thamani ya mfuko huo.
Naibu Waziri wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
SSRA yawaonya waajiri
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewaonya waajiri na Mifuko ya Hifadhi nchini kutowalazimisha wafanyakazi kujiunga na mifuko wanayoitaka wao. Akitoa taarifa kwa umma...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Waajiri wa madereva waonywa
SERIKALI itaanza kuchukua hatua za kisheria kwa waajiri watakaokiuka makubaliano katika mikataba mipya ya madereva kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu, huku madereva wakionywa kuacha tishio la migomo.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
DK Bilal awafunda waajiri
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Waajiri nchini washauriwa
WAAJIRI nchini wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwa na siku maalumu ya kuwakutanisha wafanyakazi na familia zao nje ya maeneo ya kazi, jambo ambalo litawaongezea upendo na ufanisi katika utendaji kazi...